Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
PoleAisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Ushauri gani huu wa kipuuz umetoaWewee Una nyegee, hebu tafuta pipo akuzagamue, hiyo hali itaisha automatically.
Pole sana ndugu,Mungu akusaidieAisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Unaishi wapi mkuu ?Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Let me be your friend, I can try somehow to comfort you.Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Mkuu nakazia COMPARISION IS THE THIEF OF JOY....Tafuta pesa,ridhika na hali uliokua nayo usifocus kwenye maisha ya watu au rafiki kua kafanya nini au hana nini,live your own life without comparing it with others ondoa presha ya kufanikiwa kwa haraka.
Like, how? unahitaji mtu wa kukufariji mpaka uwe naye karibu,mpate conversation za face to faceNmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
Basi itakua mapenzi tu si bure.usikubali nafsi yako ikuendeshe hata siku moja.While its not about money. Sometimes you can have good life and face the worst
Safi.Huna depression, kuna vitu tu havijakaa sawa unaviwaza sana ila sio depression, depression ni kitu kizito sana tusichanganye stress na depression....
Acha kujifungia ndani toka nenda hata beach kabarizi, anza kufanya mazoezi itakusaidia kwenye kuuchosha mwili na kupata usingizi mzuri, nunua diary andika kila kitu ambacho unahisi hakipo sawa na hata kilicho sawa, andika magumu na matamu yako, ikijaa nunua nyingine na nyingine fanya kama diary ndie rafiki yako wa kumwambia vitu, siku ukipata muda unapitia kusoma unapoona hapafai tena unaweza kuchana, hiyo ina maanisha umeufunga huo ukurasa na upo tayari kuanza upya,
Kama mahusiano yanachangia wewe kua na stress basi achana na huyo mtu, jali furaha yako, na kama ni familia jiweke mbali kwa muda tafuta furaha yako mwenyewe usitegemee watu, jifunze kuignore vitu kua positive always, usiweke mafundo moyoni hapo unakaribisha unyonge, kama huna mtoto tafuta pet uishi nae awe cat, dog, bird, etc itakufanya uwe responsible na hao viumbe wana kampan nzuri sana,
Mabadiliko huanzia kwako, tanguliza furaha yako mbele kuliko chochote, wewe ni wa thamani usikubali mtu akwambie otherwise,
Hugs 🫂 & Good luck 🤍🤍
Aisee asipo elewa hili somo ajiandae na mazito zaidiSafi.
Una madini sana kaka, Mimi Sonoma yangu ni tamisemi kunipanga kigoma aisee.Binadamu tumeumbwa kwa mfano wa mpira, sometimes mpira ukijaa sana unapasuka hivyo ndio tulivyo sasa ili usipasuke inabidi upate pa kupumulia ili kupunguza hewa iliyopo ndani ya mpira nazungumzia depression,
Sasa unapokosa mtu wa karibu wa kumwambia Mambo yako ya ndani yanayokusibu au hata ukashindwa kushea na jamii kwa hofu kwamba jamii itakuonaje it means upepo unaendelea kubaki ndani na unaendelea kuongezeka na unahisi kupasuka
Ila ukipata mtu wa kumwelezea situation yako, ukapunguza upepo na akakupa nafuu ya mlango wa kutokea kwamba hapa fanya hivi na hapa itakua hivi angalau unapata nafuu ya ndani, hapo mpira unarudi katika hali ya kawaida na depression inaacha ku-exist you're happy now it's all about happiness & sadness
✍️