Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
Hii inaweza kuwa option njema, hizo ni taa nyekundu unawashiwa,watoto data taratibu unachukua wore,taadhari huwa ni kitu kizuriNamawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Maelezo yako umejifunga mwenyewe.Nani kasema mwanajeshi mbn unakurupuka hivyo mkuu nimesema wapi mimi no mwanajeshi???
Pole sana kaka kwanza relax kumbuka hapa Duniani tunapita hakuna mtu atabaki na hakuna mtu atazikwa na mali. Kifupi ipo hivi wanawake wengi kama sio wote, wanatabia zinazofanana. Tabia yao kubwa ni ubinafsi, wanajithamini sana wao kuliko waume zao, wanapenda sana mali kuliko mwanaume anayeleta mali husika. Hapo bado utazidi kuona mengi sana hao watoto wengine wakikua.Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata
Asimfanye chochote amwache aendelee na kazi zake na amwombee kila lenye heri. Huyo dogo ni utoto na kujazwa maneno na mama yake kunamsumbua. Ulimwengu utamfunza.Hapa ndipo unaposikiaga baba kaua mama na mwanaye wa kufikia.
Anachofanya mkeo ni ushenzi wa grade A.
Huenda kijana hana kosa ni msukumo wa mama yake tu.
Bahati nzuri wewe ni mjeshi, na huyo mwanao ni mjeshi, bado una nafasi ya kumkanya huyo step son wako iwe kama baba ama kama senior wake.
Akileta jeuri ongea na wakubwa zake wampige chini. Asilete dharau hapa, eboooh!
Huu ushetani asijeakafanya amwombee heri...Fimbo iliyoua nyoka haiwekwi sebuleni. Atulie dogo ulimwengu utamfunza.Ingewezekana ukamharibia dogo ajira yake itakuwa poa sana japo najua ni ngumu, ila ukitumia umafia inawezekana, mpandikizie nadawa ya kulevya au silaha nyumbani kwake, kwa kutumia mafia afukuzwe kazi akili zitawakaa sawa.
Pole sana mkuu, hapa nakumbuka maneno ya mdogo wangu kwamba mwanamke hapewi pesa ili atunze bali huachiwa matumizi ya siku(kodi ya meza).Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna w
Usimkimbie shetani pambana wambie ukweli .ili wajue uchafu kukaa kimya siyo suluhu .wambie ukweli wife na mtoto wasikuchukulie poaNamawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Kwenye maisha wewe mwenyewe jiweke kwanza na mengine yote yachukulie rahisi tu. Cha muhimu ni nafsi yako wewe binafsi. Furaha yako na amani ya moyo wako ndio kitu namba mojaHabari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata .
Ni kibaya kweli mimi binafsi siwezi kufanya lakini kama unampenda wife wako kwa kiwango huwezi kumuacha, then huo ndio ushauri sahihi. Vinginevyo utakufa mapema wao wakiwa ndio sababu. Nyoka anauawa kwa kupiga kichwani.Hiki kitu kufanya in unyama sana aisee huu sio ushauri mzuri..
SawaMaelezo yako umejifunga mwenyewe.
Ulikuwa house boy.
Ukaajiliwa 2002.
Halafu ukadanganya kuwa utastahafu 2045 kitu ambacho sio kweli.
Dogo kaanza kazi akiwa na miaka 19, kwa umri huo atakuwa hajabukua kwa kiwango Cha juu.
Siku hizi polisi na Magereza hawaamishwi ovyo ovyo ila bakabaka wanahamishwa.
Si umeona hapo ulipopigwa koromeo.
Turudi kwenye mada.
Kuna Law of Karma
Second Newton's law of motion
Hivyo dogo yatamrudia ikiwa kweli hukumtendea ubaya.
Ni kweli penyeweWanawake ni wachoyo na wabinafsi Sana na huwa hawana shukrani. Wachache wanaweza kukumbuka mema lakini walio wengi wanachokumbuka ni sasa. Ameshaona Kuna mafaniki ameanza kumbagua mzazi mwenzie!
Mara nyingi hata uonyeshe upendo kiasi gani kwa mtoto wa kambo, mawazo na hisia nyingi za mama zinawekezwa kwa huyo,hasa akiwa mmoja. Kuna jirani hapa analea mtoto wa kiume wa kambo toka mtoto mpaka sasa anakaribia kumaliza sekondari na naona Mama yake ameanza kumfanyia choyo. Kibaya zaidi anamueleza anaenda likizo kwa mzazi wake/baba yake. Nahisi jamaa kitamtokea kilichopatikana wewe.
Yo
Mkuu huyo wife wako anafanya juu chini ili hata ukistaafu usije ukagusa hela za huyo mtoto wake, anataka ahudumiwe pekeake,
au laa tayari mtoto ameshamjua baba yake na wanawasiliana
Sahihi akimwambia ukweli mambo yake ataogopa tuBila shaka wewe ni askari wa bakabaka, Anyway inauma lakini hakuna namna we mchane tu mkeo maana dogo lazima anapata kiburi toka kwa wife wako mueleze ukweli kabisa kua haupendezwi na tabia zake za hovyo na za kichawi, maake uchawi si lazima mpaka aloge.
Ukimaliza kumchana wife, mpigie na dogo umchane
Sisi wanawake tunashida moja watoto wakikua wakapata kazi tunaanza kuwalisha sumu kua baba zao (hata kama ni baba mzazi) wanatutesa/walitutesa.
Maneno kama haya apewe kijana wako ambae anajua wew sio biological father ndio anakuchukia mara mbili . Pole sana . Hapo deal na mkeo akueleze ana tatizo gani na wewe.
Mkuu hizi nyuzi zinazotumwa humu msidhani ni hadithi tu za kutunga. Juzi kuna mtu kaandika nyuzi humu kuhusu watoto wa kambo.Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na
Mengine ni yakweli lakini mpaka mtu anakua mtu mzima ni wa kudanganya? Sema Mama wa kambo ukimuonya mtoto wake hata ka bakola kakumpoza tu anaona kama mwanaye anaonewa.Sisi wanawake tunashida moja watoto wakikua wakapata kazi tunaanza kuwalisha sumu kua baba zao (hata kama ni baba mzazi) wanatutesa/walitutesa.
Maneno kama haya apewe kijana wako ambae anajua wew sio biological father ndio anakuchukia mara mbili . Pole sana . Hapo deal na mkeo akueleze ana tatizo gani na wewe.
Muda umekwenda sana imagine jama kaoa ana miaka 20 plus miaka 19ya dogo maana yake yuko na 30+.Aisee inaumiza sana..ushauri achana nao acha kuhifadhi moyoni usije kufa mapema broo.na wewe anza kufanya vitu kivyako.