kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Mkuu achana na haya mataahira, si ndio maana yanampigia makofi hata akikohoa sababu yanadhani zile hela anatoa ni za baba 'ake.What did i contribute?!Mkuu una akili timamu?Mzee baba anadai kuwa miradi yote mikubwa inajengwa kwa pesa zetu za ndani ambazo ni kodi zetu then unaniuliza what did i contribute?!
Hofu inapomkuta mbabe angalia chini mahala alipo.Dah mambo magumu jamani!
Tunataka mheshimiwa rais anadi kwa wananchi ilani ya uchaguzi aliyokabidhiwa na chama chake sio kutafuta kura za Huruma.Kupiga magoti ni ujinga?
Akishinda mtakuja hapa kualalama mmeibiwa wakati akiomba kura kama hivi mnaona mjinga!
Bavicha ni vichwa ngumu
Mambo sio magumu ila Magufuli Mwenyezi Mungu amemsaidia kujua kuwa kazungukwa na watu wasiokua wakweli.Dah mambo magumu jamani!
Mcheck [emoji116]Huku napo wanasugua na kuosha masufuria View attachment 1584552
Thubutuuuu!! Katika mambo hawawezi kujaribu ni kuacha wasanii, kuacha kusomba watu na Meko kuhudhuria mdahalo, hayo nakuhakikishia hayawezi kutokea.Ccm walitakiwa wajifanyie tathmini bila kutumia hao wasanii wala kubeba watu kwenye maroli waone muitikio wa watu inaweza kuwasaidia kubadili mbinu
Naona unaongelea past tense!You failed to open your mind kwa yule mliokua mnamtuhumu kuwa fisadi,ulipokuwa unazungusha Mikono
Where was your "open" mind?
And you want me to open mine?
Kapolepole nako kameshiriki kupiga Goti [emoji28]
Polepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani ?
Kuna msemo: wakati wa kuomba kazi mikono nyuma, ila baada tu ya kupata kazi hiyo mikono mbele!
Uombaji huu wa kura ni hatari sana wanapopata uongozi.
Magufuli anatembea kwenye tunu za taifa,
Wewe Kama sio mwajibikaji lazima uone unafokewa
Kama unacontribute kwanini unaiita white elephant?
Ndugu yangu baadhi ya machadema uelewa wao ni was kiwango Cha chini Sana...yaani Magufuli atashinda Sana katika uchaguzi huu...baadala ya kutathimini mantiki ya Rais kupiga magoti Kama wananchi wengine walivyokuwa wamefanya kwenye mkutano yenyewe machadema yanakejeli...poor them...yenyewe kazi yao kuhamasisha vurugu na kutupiwa mawe polisi na polisi wakijibu kwa mabomu ya machozi yanalalamika ...hopeless kabisa...yamemuua kijana wa Njombe na polisi wanashughulikia Sasa yameanza kuhoji polisi kwanini machadema baadhi yao yamekamatwa...yalichoma ofisi sehemu mbalimbali Kama mkakati wa kuichafua serikali...Kila wakati yanahamasisha vurugu huku yakitishia kinachoitwa the Hague yasijue kuwa kwa kuhamasisha vurugu yenyewe ndiyo yatakuwa watuhumiwa nambari want..Kupiga magoti ni ujinga?
Akishinda mtakuja hapa kualalama mmeibiwa wakati akiomba kura kama hivi mnaona mjinga!
Bavicha ni vichwa ngumu