wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Hivi hizi mambo hadi za kuwekwa kwenye viti wakati kampeni huwa ni jambo la muda mfupi linashangaza sana.Bundi katua mtini na kuleta sura za huzuni.
Tundu Lissu apige Magoti kama hajaharibu device aliyofungiwa magotini na viunoniTundu Lissu shikilia hapo hapo maana mzee baba kapoteana
Sisi madereva tunanyanyasika sana, tuna jambo letu tarehe 28 oktoba,Kipigo kipo palepale Oktoba 28
Tunahadaa Ulimwengu kuwa tunategemea kura za wananchi kushinda uchaguzi.
Hata upige magoti Swala sisi wavuvi ulivyotunyasa hadisasa nimebaki masikini kwakweli wavuvi tuungane kwahili lisu kasema anatulipaDah mambo magumu jamani!
Dah mambo magumu jamani!
[emoji23][emoji23]Huyu Jamaa hapa Pichani hiyo ni Pua au ana Kibakuli maeneo ya Puani?
hii nikweli kabisa mkuu,tutaona rangi yake halisiSubiri "atangazwe ameshinda na kuapishwa",ndipo tutakapo lipia taabu zote hizi anazozipata sasa!
Maendeleo makubwa nayapenda sana ila white elephant projects no!Naelewa, wewe hupendi maendeleo mwakubwa?
Hujamsikia akisema....Farao alijiita Mungu
Magufuli ni mtumishi wa Mungu
So hapo hamna comparison
OkAcha ujuha kupiga magoti ni ishara ya unyenyekevu na uzalendo
Dkt. Magufuli ni mnyenyekevu mbele ya watanzania,anatuheshimu na anatupenda.
Hatishwi na siasa zenu zisizo na nidhamu
People like Polepole who spent most of their time explaining what they have done mean they have done nothing. Development is something which can be seen is not invisible. They are something wrong with this regime i pray day and night for the change cos is only thing we need nowCOMEDY!
Akishinda akaapishwa miaka mi5, alivyo na kisasi, watanzania tutasugua magoti, eeh Mungu tuhurumie!
Tutapiga magoti huku mikono juu tumebeba tofali..tutapata taabu!
Everyday is Saturday............................... π