Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Bundi katua mtini na kuleta sura za huzuni.
Hivi hizi mambo hadi za kuwekwa kwenye viti wakati kampeni huwa ni jambo la muda mfupi linashangaza sana.

Mimi binafsi siwaelewi hawa jamaa wanaoratiba hizi mambo. Jukwaa utadhani ni shughuli ya wiki.

Tunachezea sana hela sisi.
 

Kweli safari hii maji yamezidi unga, imebaki tu kuanza kuokota makopo. Mh. Tundu Antiphas Lissu pagonge hapo hapo!
 
Upepo umebadilika, toka kufokea wapiga kura hadi kupiga magoti! Mara kwa mara anasema kazi ya urais ni ngumu, sasa magoti ya nini?
 
Heeeeee heeeeeee hii kali ya mwaka!🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️
 
Nina ombi maalumu kwa wanaopanga ratiba ya mheshimiwa, akitoka Njombe apite Ludewa akatembelee kaburi la Mdogo wangu Marehemu Deo Filikunjombe.

Wakitoka Ludewa waende Lituhi wakafagie kaburi la kaka yangu Kapteni Komba. Michango ya hao marehemu kwenye chama cha CCM ni mikubwa sana na haitakiwi kusahauliwa kirahisi.
 
Farao alijiita Mungu

Magufuli ni mtumishi wa Mungu

So hapo hamna comparison
Hujamsikia akisema....
Kuna watu they don't deserve to be alive?
Mungu pekee Ndio anatoa na anaetwaa
Hujamsikia akiwaambia wahaya mwafaa?
Hauoni anasema mkichagua wapinzani mtakosa.....
Riziki ipo kwenye hazina ya mungu yeye hawezi kitu
Mara nyingi anajipa sifa za kimungu
Baada ya uchaguzi itamsikia
 
COMEDY!
Akishinda akaapishwa miaka mi5, alivyo na kisasi, watanzania tutasugua magoti, eeh Mungu tuhurumie!

Tutapiga magoti huku mikono juu tumebeba tofali..tutapata taabu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
COMEDY!
Akishinda akaapishwa miaka mi5, alivyo na kisasi, watanzania tutasugua magoti, eeh Mungu tuhurumie!

Tutapiga magoti huku mikono juu tumebeba tofali..tutapata taabu!

Everyday is Saturday............................... 😎
People like Polepole who spent most of their time explaining what they have done mean they have done nothing. Development is something which can be seen is not invisible. They are something wrong with this regime i pray day and night for the change cos is only thing we need now
 
Back
Top Bottom