Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Kwani kuna tatizo gani iwapo hajadhulika na ni matakwa ya wapigakura ili wampigie kura,amepungukiwa nini unadhani?

Mbona wanaume wanachuchuma chooni kunya kama wanawake wamekosa niji?
Vipi angekuwa ni upande wa pili, ungeandika hivi?
 
https://m.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=pFfxpFfxyPV2kkc

Rais Magufuli kwa mara ya kwanza ameanza kupiga magoti mbele ya Wapiga kura kuomba kura kwene Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mwaka 2015 Magufuli alikuwa akifanya Kampeni za kibabe za kupiga Pushup na kujinasibu kuwa yeye ni Bulldozer hivo apewe Urais ili awakomeshe Mafisadi!

Je, hii inaashiria nini kwa Kampeni za Magufuli? Je, ni unyenyekevu, Unafiki au Hofu ya kushindwa Uchaguzi kwene Sanduku la kura?
Tujadili kwa kina.
 
Hamkumbuki ya lowasa zile pushup, juzi lisu alikuwa na Walemavu akawaambis mtu yeyote anaweza kuwa mlemavu hata yeye kwa sasa ni mlemavu hawezi piga magoti ingawa hakuzaliwa hivyo, kesho yake yaani Jana tunamuona maguffuli akipiga magoti kwa akili zenu mnafikiri magufuli na tabia yake ya madharau anaweza piga goti kweli? Tayari mtu kesha tukanwa hapo.
 
Dah mambo magumu jamani!


View attachment 1585037

Mwaka huu Jiwe kalainika Kama Siagi! Ugumu wa Jiwe, U-bulldozer na Pushups zote kwishne!

Mzee Jiwe amejaa hofu ya kupigwa chini na Watanzania baada ya kuridhishwa na hoja za Tundu Lissu.
Jiwe huyu huyu ndiye aliyeahidi Milioni 50 kila Kijiji lakini zimeota mbawa. Jiwe huyuhuyu ndiye amefukuza Watumishi wa Umma bila kuwalipa hata senitano kwa kudai hawakuwa na vyeti!!!
Magufuli huyuhuyu kwa miaka 5 ndiye amekataa kuongeza MISHAHARA kwa madai anajenga Flyover, SGR na Stieglers Gorge.
Magufuli huyuhuyu kwa miaka 5 amekataa kuajiri Vijana kwa maelfu wanaomaliza vyuo ilhali mashule hayana Waalimu wa kutosha, Mahospitali yana upungufu mkubwa wa Madaktari lakini pia Magufuli ame paralyze mfumo wa sekta binafsi!!!
Yawezekana kabisa Magufuli akawa Rais atakayeishia kutawala kwa kipindi kimoja tu Cha miaka 5!

Tukutane 28 Okt, 2020.
 
Dah mambo magumu jamani!


View attachment 1585037
Ila huyu mzee siku akiwa hayupo madarakani aminini nawaambia tutamkumbuka sana!!!!! Mimi ni kijana ambaye napenda maendeleo na kwabahati nzuri nimejiajiri najua ugumu wakujitegemea ila kwa miradi ya huyu serikali inayofanya kama akichaguliwa huyu mzee akaimaliza kweli nakwambia hii ichi vilio vyote vitaisha na tutaishi kwa raha sana... Tujifunze kuwa na jicho la kuona mbali wakuu!!! Huyu mzee kupiga goti anaomba kura sio sahihi ila nimeona kajishusha kwa unyenyekevu mkubwa sana kwa hao wananchi na iyo ni baraka kwao.... Maendeleo hayana chama
 
wafuasi wa amustadamu wanashangaa magoti njombe??? kwani nani asiyejua mila za ndugu zetu wahehe na wabena?
Yaani hapo kwa Njombe Magufuli atapata kura nyingi Sana...uko sahihi...kwa wabena na wahehe kupiga magoti ni kielelezo Cha unyenyekevu mkubwa Sana..
 
Wabena hawanaga shida zaidi ya maendeleo yao

Yaani hapo kwa Njombe Magufuli atapata kura nyingi Sana...uko sahihi...kwa wabena na wahehe kupiga magoti ni kielelezo Cha unyenyekevu mkubwa Sana..
 
Wabena hawanaga shida zaidi ya maendeleo yao
Sawa kabisa Mbena wa kizazi kipya...sawa kabisa Mbena wa mjini....jamani muwe angalau mnarudi nyumbani kwenu mlikotoka kuwasalimu mababu, Bibi na kunywa ulanzi...tehtehteh
 
Sawa kabisa Mbena wa kizazi kipya...sawa kabisa Mbena wa mjini....jamani muwe angalau mnarudi nyumbani kwenu mlikotoka kuwasalimu mababu, Bibi na kunywa ulanzi...tehtehteh
Nimekusoma mkuu😁😁😁😁
Nakupa heshma kubwa kwa mbena mwenzangu
 
😂😂😂😂😂😂Pale maji yanapozidi unga! Lissu the GREATEST si wa mchezo mchezo.
Njombe maji hayawezi kuzidi unga hata siku moja, nakuahakikishia mkoa ule sio Chadema tu chama chochote pinzani hakipati ubunge katika majimbo yake hizo ni mbwembwe za siasa tu.
 
Rais John Magufuli ktk kipindi chote cha uongozi ametamka mara nyingi sana kwamba urais ni kazi ngumu (mateso) na kuomba tumuombee.

Cha ajabu ya Mwajabu, jana akiwa Njombe amepiga magoti akiomba kura ili aendelee kuwa rais.

Hivi ni kweli alikuwa anamaanisha kuwa kazi ya urais ni mateso? Kama ni mateso kwanini anapiga magoti kuomba mateso?
 
Back
Top Bottom