Njombe ilinyofolewa kutoka Iringa leo ina watu wachache kuliko mikoa yote Tanzania Bara

Njombe ilinyofolewa kutoka Iringa leo ina watu wachache kuliko mikoa yote Tanzania Bara

Duh! Hivi Inakuaje Simiyu Mkoa wa juzi tu unaizidi population mikoa kongwe kama singida, Manyala, Iringa, Lindi nk ?.
Achaga ujinga,kuwa Mkoa wa zamani au Mpya hakuna uhusiano na kuwa na idadi kubwa ya Watu.
Screenshot_20231031-061536_1.jpg
 
1. Mkoa wa Njombe una watu wachache kuliko mikoa yote ya bara kwa mujibu wa sensa.

2. Mkoa wa Njombe ni wa pili baada ya Dar kwa utajiri kwa kigezo cha per capita income.

3. Mkoa wa Njombe unaongoza kwa idafi ya mabilionea nchini.

4. Mkoa wa Njombe, una eneo kubwa la kiutawala kuizidi mikoa mingi ya bara.

Je, kigezo cha kuwa mkoa, una uhakika ni idadi ya watu pekee yake?

Lakini ufahamu pia, sensa ni kwaajili ya kutoa picha tu ya jumla, lakini siyo halisia. Watu wengi siku ya sensa hawakuhesabiwa maeneo yao.

Tukitaka kupata idadi halisi ya watu toka eneo la kila mahali, labda tufanye sensa kama ilivyokuwa inafanyika enzi za Yosefu na Maria. Wao walisafiri mpaka eneo walikozaliwa, Betlehemu ili kwenda kuhesabiwa.

Idadi hiyo kubwa kabisa ya Dar, wala siyo wakazi wa Dar, bali wapo kwa shughuli za muda mfupi, wa kati au mrefu. Ni wachache ambao ni wakazi wa kudumu. Hata Mwalimu Nyerere aliishi Dar wajati wote akiwa Rais, lakini alipostaafu alirudi kwao, Butiama- Musoma.

NB: Mara nyingi wenye uchiumi mzuri husafiri na kutawanyika sana.
Namba 2 ni uongo.
20231117_135542.jpg
 
Pia Tundu Lissu anauliza wakuu wa wilaya 273 wanaolipwa mishahara na nyuma yao utitiri wa wafanyakazi katika 'boma' yaani ofisi ya mkuu wa wilaya.

Wakati kuna wenyeviti wa Halmashauri na madiwani wanaochaguliwa na wananchi kufanya kazi katika maeneo bila kusahau mbunge anayekwenda katika bunge la serikali kuu Dodoma kuangalia bajeti ya serikali kuu ya Muungano jinsi inavyogawa na kukusanya kodi kwa matumizi ya ulinzi, usalama, miradi mikubwa n.k

View attachment 2816409
Hata tukiwa na serikali ya majimbo, wakuu wa wilaya au ofisi inayofanana nayo itakuwepo kwa ajili ya kuwakilisha utawala na dola katika majukumu ya kila siku. Madiwani na viongozi wa kuchaguliwa hawataweza kuwawakilisha and at the same time kuiwakilisha dola name utawala. Itakuwa bonge moja la mgongano.
Lissu anatumia umaarufu wake kutuchanganya na kuichallenge nchi.
 
Mada yako ni Nzuri sana, ila nataka kuchomekea kwenye taarifa, zoezi la sensa lilibaini kuwa Makabila yenye watu wengi nchini ni 1. Wasukuma, 2. Wamasai 3. Wagogo , ila ukijaribu kuandika uzi kuhusu hii mada wanaufuta hata dakika hauchukui, mimi nashangaaa sana
 
Geographical + Economical ndio iliamua hio, mtu utoke Manda uende Iringa jua unafika saa 4 usiku Iringa au uamue kulala Njombe kwanza, utumie siku 2, then na wakat wa kurudi hivo hivo, utakuta mtu akitaka kwenda mkoani inabidi atumie week nzima,
Wakat ingekuwa Njombe angetumia siku 2 au tatu max,

Kingine Njombe ni mkoa wenye pesa
Nakumbuka nilihudhuria RCC moja Iringa mjini, RC anawauliza ma-DC mlianza safari lini? Vituo vya njiani mlilala wapi? Nikashangaa DC anatumia siku 2 kufika mkoani.
 
Mada yako ni Nzuri sana, ila nataka kuchomekea kwenye taarifa, zoezi la sensa lilibaini kuwa Makabila yenye watu wengi nchini ni 1. Wasukuma, 2. Wamasai 3. Wagogo , ila ukijaribu kuandika uzi kuhusu hii mada wanaufuta hata dakika hauchukui, mimi nashangaaa sana
1. Wasukuma 2. Wachaga 3. Wamasai 4. Wahaya
 
Mada yako ni Nzuri sana, ila nataka kuchomekea kwenye taarifa, zoezi la sensa lilibaini kuwa Makabila yenye watu wengi nchini ni 1. Wasukuma, 2. Wamasai 3. Wagogo , ila ukijaribu kuandika uzi kuhusu hii mada wanaufuta hata dakika hauchukui, mimi nashangaaa sana
Sidhani kama Kuna shida,huu ni ukweli ambao uko wazi.
 
Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji mkoa, Je ni kweli tunazingatia kuona umuhimu wa kuwa na mikoa mingi
Unaonaje ukitupa na takwimu za kiuchumi kwa kila mkoa ili tulinganishe uzalishaji wa njombe na matumizi yake.
 
Hizo report naona zinazungumzia mambo mawili tofauti,
Hiyo ya kwanza ni population growth rate na ya pili ni masuala ya kipato.

Si hivyo mkuu.
Comment yangu nimereply kwenye report ya population growth rate.

We kuna mafile umechanganya.
 
Back
Top Bottom