Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
5. Wairaq 6. Wanyakusa 7. wanyiramba 8. Wagogo 9. Wakinga 10. WapareHawa wamasai hawavumi lakini wamo, alo sijawahi wafikiliaga kabisa.
Shusha. Mpaka top ten tuone mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5. Wairaq 6. Wanyakusa 7. wanyiramba 8. Wagogo 9. Wakinga 10. WapareHawa wamasai hawavumi lakini wamo, alo sijawahi wafikiliaga kabisa.
Shusha. Mpaka top ten tuone mkuu.
Mikoa mingi ni ushahidi wa ufisadi wa kisiasa na ubinafsi wa watawala.Naendelea kuchunguza hizi takwimu za sensa za mwaka 2022 na kuendelea kujiuliza sababu ya kugawanya mikoa na wilaya. Kwa watoto lazima mjua baadhi ya mikoa ilikuwa wilaya tu awali, mikoa hiyo ni pamoja na Songwe, Katavi, Geita na Njombe.
Leo nimeangalia mkoa wenye watu wachache nchini Tanzania, mikoa ya Zanzibar ina watu wachache. Lakini kwa kufananisha mikoa ya bara pekee, mkoa wa Njombe ni mkoa wenye watu wachache zaidi nchini.
View attachment 2816382
Je, ni kweli tunaanzisha wilaya na mikoa kwa ajili ya kupeana zawadi kwa nafasi za teuzi. Je ugawaji wa mikoa na wilaya unaongeza tija kwa maendelea ya sehemu husika?
Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji mkoa, Je ni kweli tunazingatia kuona umuhimu wa kuwa na mikoa mingi. Kama tutahofu kuhusu ukubwa wa eneo kijiografia, hatuoni kuwa tunatoa umuhimu kwa nchi kugawwa ili kuwa na marais wawili kuunguza mzigo.
So manya questions.
Nakumbuka nilihudhuria RCC moja Iringa mjini, RC anawauliza ma-DC mlianza safari lini? Vituo vya njiani mlilala wapi? Nikashangaa DC anatumia siku 2 kufika mkoani.