Njombe ilinyofolewa kutoka Iringa leo ina watu wachache kuliko mikoa yote Tanzania Bara

Namba 2 ni uongo.
 
Toa upumbavu wako hapa.Mikoa yetu sio ya kujenga Mbeya,pambaneni na Hali yenu sio kulilia Songwe boya wewe
Mithali 26:4 SRUV
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye
 
Hata tukiwa na serikali ya majimbo, wakuu wa wilaya au ofisi inayofanana nayo itakuwepo kwa ajili ya kuwakilisha utawala na dola katika majukumu ya kila siku. Madiwani na viongozi wa kuchaguliwa hawataweza kuwawakilisha and at the same time kuiwakilisha dola name utawala. Itakuwa bonge moja la mgongano.
Lissu anatumia umaarufu wake kutuchanganya na kuichallenge nchi.
 
Mada yako ni Nzuri sana, ila nataka kuchomekea kwenye taarifa, zoezi la sensa lilibaini kuwa Makabila yenye watu wengi nchini ni 1. Wasukuma, 2. Wamasai 3. Wagogo , ila ukijaribu kuandika uzi kuhusu hii mada wanaufuta hata dakika hauchukui, mimi nashangaaa sana
 
Nakumbuka nilihudhuria RCC moja Iringa mjini, RC anawauliza ma-DC mlianza safari lini? Vituo vya njiani mlilala wapi? Nikashangaa DC anatumia siku 2 kufika mkoani.
 
1. Wasukuma 2. Wachaga 3. Wamasai 4. Wahaya
 
Sidhani kama Kuna shida,huu ni ukweli ambao uko wazi.
 
Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji mkoa, Je ni kweli tunazingatia kuona umuhimu wa kuwa na mikoa mingi
Unaonaje ukitupa na takwimu za kiuchumi kwa kila mkoa ili tulinganishe uzalishaji wa njombe na matumizi yake.
 
Hizo report naona zinazungumzia mambo mawili tofauti,
Hiyo ya kwanza ni population growth rate na ya pili ni masuala ya kipato.

Si hivyo mkuu.
Comment yangu nimereply kwenye report ya population growth rate.

We kuna mafile umechanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…