Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho: