Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kiongozi wa serikali. Huu sio mradi wa chama wewe pimbi wa CCmSasa kama ni Chadema ndio walihamasisha Wananchi ni haki yao kuzindua
Binafsi nawapongeza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi wa serikali. Huu sio mradi wa chama wewe pimbi wa CCmSasa kama ni Chadema ndio walihamasisha Wananchi ni haki yao kuzindua
Binafsi nawapongeza sana
Kinana kazindua miradi mingapi?Huu ni uzandiki na uhainiView attachment 2631263
Kuna saa una kuwa na akili timamuSasa kama ni Chadema ndio walihamasisha Wananchi ni haki yao kuzindua
Binafsi nawapongeza sana
Huwa wanajifanya kuwaponda wapinzani kuwa eti wanakosoa tu lakini hawafanyi maendeleo yoyote, lakini wakiona wapinzani wanafanya maendeleo yoyote lazima wawahujumu.ccm walivyo na akili za ajabu huo mradi wote wataubomoa kuwaadhibu wananchi
Tulishawambia Chadema inaongoza Nchi ccm inatawala tu.Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
🤣🤣🤣mambo yamegeukaIna maana serikali imeanza kupinga kila kitu?!
Nanj huyo anataka kupinga maendeleo kwa wanachi?Hongereni CHADEMA kwa kuleta maji Njombe, endeleeni hivyo hivyo nchi nzima.
Wanasema hatujengi ofsi sasa sisi tunafanya maendeleo bado wanapinga?🤣🤣Badala ya kushukuru hicho walichokifanya chadema kama chama Kwa wananchi nyie serikali mnaleta upimbi
🤣🤣🤣Nchi yetu sote. Kwa hiyo wangezindua wachina ni Poa Tu ila CHADEMA AU CUF inakuwa shida?
Nanj huyo anataka kupinga maendeleo kwa wanachi?
Hapa sasa wananchi wajionee wenyewe hao wanaojifanya serikali tukufu
Sema neno Mkuuduh aiseee
Kabisa yaani hivyo hivyo.CCM nawafananisha na mtu anayemng'ang'ania mwanamke wakati hawezi kumtunza. Lakini ikitokea mtu mwingine akaanza kutoa matunzo kwa huyo mwanaumke analeta nongwa ya hatari.
Kamanda asiyechoka naona unavyotetema ! Bado hadi itafikia wakati utingishe many onto na .......Huu ni uzandiki na uhainiView attachment 2631263
Maintenance cost ya ikulu zote mbili zitalemea walipa kodi sana. Huo nao ni ukweli tu.Sisi tupo hapa tunashangilia na kubishana nani alijenga ikulu ya chamwino? Yaani nchi masikini wananchi wake wanabishana uwepo wa IKULU MBILI na wafanyakazi wasiotulia ofisini wakisafiri usiku kucha
Kabisa !Tulishawambia Chadema inaongoza Nchi ccm inatawala tu.
[emoji38][emoji38][emoji38]Ina maana serikali imeanza kupinga kila kitu?!
Wewe usiwe na wasiwasi kila kitu kipo kwa mantiki yake usihofu! Hata isingejengwa swala la kodi lipo pale pale kwani ni sheria na wajibu wa kila mtanzania kwa manufaa ya nnchi. Tuliza kiwewe chako!Maintenance cost ya ikulu zote mbili zitalemea walipa kodi sana. Huo nao ni ukweli tu.