Njombe: Serikali yakasirishwa na Kitendo cha CHADEMA kuzindua Mradi wa Maji, figisufigisu zaanza

Njombe: Serikali yakasirishwa na Kitendo cha CHADEMA kuzindua Mradi wa Maji, figisufigisu zaanza

Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Ile intelijensia yao inayonusa mikutano ya wapinzani ilikuwa wapi?
Wao wenyewe walikuwa wapi kugharamia huo mradi?
Wananchi wa Njombe siku zote wako ahead of the government kimaendeleo, kuna mwaka walitaka kuchangishana fedha ili kujenga barabara ya lami toka Njombe hadi Makete iliko hospital ya uhakika ya Mission Ikonda
 
Ni hivi kama mradi ulikuwa ni wa CHADEMA basi kuzindua sio mbaya ila kama Chadema ilishirikiana na jamii basi hata mkurugenzi angejulishwa kwa barua kwani siasa ni vita?
Ingekuwa kila mfadhiri anazindua mradi wake mbona ingekuwa vurugu
Nendeni na mkurugenzi mkauzindue, kwani CDM wamewazuia? Mkiona vipi muombeni mama Samia akauzindue.
 
Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.

Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.

Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.

Kula chuma hicho:

View attachment 2631015
Shida iko wapi?
 
Viongozi wa serikali na watendaji wao waache ushamba. Kinachotakiwa kwa sasa ni serikali kuboresha na kurasimisha huo mradi na kama kuna mapungufu katika design na ujenzi ni jukumu la serikali kurekebisha ili wananchi waendelee kupata huduma

Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.

Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.

Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.

Kula chuma hicho:

View attachment 2631015
Katiba mpya, na utawala wa majimbo ni dawa ya mambo aya.
Mtendaji kata, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, ded, Ras, wote Hawa ni ushenzi mtupu,
 
Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.

Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.

Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.

Kula chuma hicho:

View attachment 2631015
"Maridhiano" huko bado hayajawafikia?
 
Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.

Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.

Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.

Kula chuma hicho:

View attachment 2631015
Wafuate taratibu zipo Sheria za kuchimba visima wafuate
 
Huwa wanajifanya kuwaponda wapinzani kuwa eti wanakosoa tu lakini hawafanyi maendeleo yoyote, lakini wakiona wapinzani wanafanya maendeleo yoyote lazima wawahujumu.

Nilikuwa naona jinsi wanawagomea wapinzani kupeleka misaada mahospitalini, au kwenye taasisi mbalimbali za kijamii, kwakuwa wanaona wapinzani watapata nguvu za kisiasa. Hicho chama ni cha wachawi watupu.
si cha wachawi tu ni mumiani pia
 
Back
Top Bottom