Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
Nilimaanisha mradi ambao chadema ni wafadhili na watumiaji kwa 100%Mradi wa CHADEMA??! Una maanisha nini hapo...? CCM nyie ni hamnazo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha mradi ambao chadema ni wafadhili na watumiaji kwa 100%Mradi wa CHADEMA??! Una maanisha nini hapo...? CCM nyie ni hamnazo..
Nyie ndo hamnazo hamna hata ofisi ya mkoa hapo njombe mmepanga sijui kama mzee wetu nyimbo kada wa CCM aliwaachia ofisi au ndo kasepa nayo...Mradi wa CHADEMA??! Una maanisha nini hapo...? CCM nyie ni hamnazo..
Nje ya CCM utaishia kuolewa.We kenge nakuheshimu. Mimi siwezi kuwa CCM
Ile intelijensia yao inayonusa mikutano ya wapinzani ilikuwa wapi?Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Kwenu CCM Jukwaa La Marumaru ni muhimu kuliko Mradi wa Maji....Basi kabomoeni hicho kisima....Sina muda wa kubishana na nyieView attachment 2631356
Uko sahihi, lakini hizo za CCM ni za kurithi toka mfumo wa chama kimoja. Pale mwenye nyumba ya urithi wa wizi anapomtambia mpangaji!Nyie ndo hamnazo hamna hata ofisi ya mkoa hapo njombe mmepanga sijui kama mzee wetu nyimbo kada wa CCM aliwaachia ofisi au ndo kasepa nayo...
Nendeni na mkurugenzi mkauzindue, kwani CDM wamewazuia? Mkiona vipi muombeni mama Samia akauzindue.Ni hivi kama mradi ulikuwa ni wa CHADEMA basi kuzindua sio mbaya ila kama Chadema ilishirikiana na jamii basi hata mkurugenzi angejulishwa kwa barua kwani siasa ni vita?
Ingekuwa kila mfadhiri anazindua mradi wake mbona ingekuwa vurugu
Kumbe ulikuwa unabishana.Sina muda wa kubishana na nyieView attachment 2631356
Kwahiyo Ofisi kwanza...Majii baadaye?CCM nyie ndiyo DHIKI KUUNyie ndo hamnazo hamna hata ofisi ya mkoa hapo njombe mmepanga sijui kama mzee wetu nyimbo kada wa CCM aliwaachia ofisi au ndo kasepa nayo...
Hizo kaya 150 zote ni CHADEMA au Hilo jiwe la Msingi limeandikwa pia maneno-- Kwa Wana CHADEMA Tu-.? CCM ni wachonganishi sanaNilimaanisha mradi ambao chadema ni wafadhili na watumiaji kwa 100%
Shida iko wapi?Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
Viongozi wa serikali na watendaji wao waache ushamba. Kinachotakiwa kwa sasa ni serikali kuboresha na kurasimisha huo mradi na kama kuna mapungufu katika design na ujenzi ni jukumu la serikali kurekebisha ili wananchi waendelee kupata huduma
Katiba mpya, na utawala wa majimbo ni dawa ya mambo aya.Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
HakikaKatiba mpya, na utawala wa majimbo ni dawa ya mambo aya.
Mtendaji kata, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, ded, Ras, wote Hawa ni ushenzi mtupu,
"Maridhiano" huko bado hayajawafikia?Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
Mna akili za kitoto sana kwakweliChadema wanajipendekeza kwenye miradi ya Samia
Wafuate taratibu zipo Sheria za kuchimba visima wafuateMradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015
si cha wachawi tu ni mumiani piaHuwa wanajifanya kuwaponda wapinzani kuwa eti wanakosoa tu lakini hawafanyi maendeleo yoyote, lakini wakiona wapinzani wanafanya maendeleo yoyote lazima wawahujumu.
Nilikuwa naona jinsi wanawagomea wapinzani kupeleka misaada mahospitalini, au kwenye taasisi mbalimbali za kijamii, kwakuwa wanaona wapinzani watapata nguvu za kisiasa. Hicho chama ni cha wachawi watupu.
Acha kudandia gari kwa mbele, hiyo ni gravity scheme!Wafuate taratibu zipo Sheria za kuchimba visima wafuate
Mpaka kinakamilika uongozi wa Eneo hilo hawakujua wala kuona?Wafuate taratibu zipo Sheria za kuchimba visima wafuate