Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Chalii unasaka kinyama ujapata Tu
 
Hamna namna inabidi tu nivute subra mpaka mwaka 2020 ndo ntakuwa nmefikisha miaka sita,ndio ntaanza kuingiakwenye mtanange
hahaha uanze kuwadanganya watoto wetu ambao watakuwa wamejiunga muda huo.

Mkono wa sheria ni mrefu jichunge.
 
hakuna mahali nitakapoona ujumbe wako nikaacha kusoma na kila ninaposoma jumbe zako lazima nijifunze kitu

i appriciate bro, faza, babu, anko, pal
 
Kuna kile kipindi unajamiana na wa kike hadi unadhani huyu hanipigi cha mbavu ukiingia yanakuwa mengine Mzee baba....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Njia panda njia panda.

mshirikishe Mungu kwenye njia panda yako.

mshirikishe mwamba kwenye njia panda yako.
Khaaaaa haya [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mzee baba unaweza jipa makonfidence mia kuwa huyu haruki. Ukimuingia salaleeee. Kidume unarudi mdogo kama piriton. Sema kwa kuwa ni pm inabaki siri yenu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] bora mimi mwanamme Mpole kabisa huwaga sisogei kabisa getini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…