Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Chalii unasaka kinyama ujapata TuKwanini kina dada mnawaamini hawa watu hivi...sisi tuliojiunga mwaka jana mwaka juzi tukija mnatuona kama wazinguaji.
Hamjui hata hawa wakongwe wapo hivi. kukuchezea ni tabia ya mtu tu haina uhusiano na ukongwr au idadi ya likes.
Japo nikiri kweli member wapya huwa tuna mwaga pumba na comments za ajabu humu. Tunaongoza. Nimefikiria niende kwenye ule uzi wa likes kisha nirudi.
Mjaribu kutufikiria nasi...jaribuni kutusikiliza hadi mwisho sio haujaongea tu unapigwa cha mbavu.
Umeniacha njiapandaMtu mfupi kabla hajakutana na mtu mrefu tayari wanakuwa na mgogoro wa nafso.
Tajiri na maskini kabla wakutane wanakuwa na mgogoro wa nafsi.
Karibu tuongeeeDuuh 2011 post tatu.
naomba id yako mkuu kama unayo nyingine kama hii...huitumii kabisa
Mkuu haya maneno mazito saana kama mwenyekiti naomba utumie lugha rahisi nasi tuyaelewe.
Ndo kilichobaki, kupeana boost ni muhimuDaah tunapata tabu aseeh... tuwe tunamwagiana likes bwana walau tufike huko.
hakuna mahali nitakapoona ujumbe wako nikaacha kusoma na kila ninaposoma jumbe zako lazima nijifunze kituNgoja niwaambie vijana!!.....
Maua ya kondeni yanapendeza kwa asili yake na sio kumfurahisha mtu....ila Mtu kwa kufurahishwa nayo huyachuma na kuyapeleka nyumbani......
Kuwa vile ulivyo na watu wanaojua au kuona umuhimu wako watakuja karibu yako!!!!.....
Usibadili kariba yako kwa utashi wa mtu bali kariba yako ndio iwavutie watu!!!...
Word is enough for the wise!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna kile kipindi unajamiana na wa kike hadi unadhani huyu hanipigi cha mbavu ukiingia yanakuwa mengine Mzee baba....
Mimi nna miaka sita na ushee lakini hizo likes sasa...!Vipi!kwema
Khaaaaa haya [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Njia panda njia panda.
mshirikishe Mungu kwenye njia panda yako.
mshirikishe mwamba kwenye njia panda yako.
ziliwabagua vizuri tu, hivi vitu vya kupeana ndo shida yakeNakumbuka walivyoziondoa nililia sana.
Ila naona kama ziliwabagua baadhi ya watu....sijajua lakini.
Bravohakuna mahali nitakapoona ujumbe wako nikaacha kusoma na kila ninaposoma jumbe zako lazima nijifunze kitu
i appriciate bro, faza, babu, anko, pal
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] bora mimi mwanamme Mpole kabisa huwaga sisogei kabisa getiniMzee baba unaweza jipa makonfidence mia kuwa huyu haruki. Ukimuingia salaleeee. Kidume unarudi mdogo kama piriton. Sema kwa kuwa ni pm inabaki siri yenu.
Kabisaaahaha... I understand that... ni vyema lkn kuuwahi uzee.
Nimekupa KikulachoChakoThink big take control of your destiny