Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Cha ajabu hili halipo kwa Id za jinsia zote mkuu...

wa kike wakizeeka kwa id zao kongwe wanafungua mpya mpya.
Wa kike wakongwe nikujihisi tu kuwa atakadiriwa umri wake labda anaona afungue ID mpya

Kuna kasumba kuwa jf ilikuwa ni kwa ajili wa watu flani wasomi au watu wazima hivi ,
Ndo maana ID kongwe zinapewa kipaumbele

Kwa sasa ni tofauti hata vitoto vimo humu

Tizama mada na aina ya michango bado na maskendo yanayoendelea humu ya kingono utapeli nk
 
Wa kike wakongwe nikujihisi tu kuwa atakadiriwa umri wake labda anaona afungue ID mpya

Kuna kasumba kuwa jf ilikuwa ni kwa ajili wa watu flani wasomi au watu wazima hivi ,
Ndo maana ID kongwe zinapewa kipaumbele

Kwa sasa ni tofauti hata vitoto vimo humu

Tizama mada na aina ya michango bado na maskendo yanayoendelea humu ya kingono utapeli nk
Hahaha...

Kwa hiyo ukiona vimada vya kijinga kijinga kama hiki changu unajua katoto mkuu!

nitakubali.

Ila muda mwingine unakuta ni libaba tu limekosa cha kufanya linasumbua watu.
 
Kuna kaukweli fulani ID kongwe zinatusua sana na kula tamu humu na kuheshimiwa pia kuliko ID mpya

kwenye idadi ya likes nisijue tu lakini ID yenye miaka mitano hata akiuliza kitu(kutongoza au kinginecho) anajibiwa kwa adabu

Lakini mkongwe mwenye likes chache ni wa kuogopa nae

La msingi lugha chezeni na lugha kuna watu hawajui kutumia lugha laini
Lugha laini ndo zikoje, tufundishane jamani. wengine tulisoma sayansi, kuremba mwandiko hatuwezi
 
Hahaha...

Kwa hiyo ukiona vimada vya kijinga kijinga kama hiki changu unajua katoto mkuu!

nitakubali.

Ila muda mwingine unakuta ni libaba tu limekosa cha kufanya linasumbua watu.
Mbaba anaeweza kuwa zuzu hivyo ni hasara kwa ukoo wake na jamii yake

Kujua huyu ni mtoto ni aina ya mwandiko tu

Wewe utakuwa ni upo katikati sio mtu mzima wala ubalehe .......kama 34 na kupanda
 
Back
Top Bottom