kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Tutakua tunasubir mkuu utupatie maelekezo yako. Ni muhimu tujionee hizo sayarKama inavyo onekana ktk picha kuanzia mwezi wa nne mwishoni kutakuwa na sayari kibao zitakazo kuwa zikionekana wakati wa usiku mfano Venus,mars, Jupiter, mars..... Ikifika mwezi wa NNE hadi watano kaa chonjo kuangalia angani ....nitaleta uzi mwingine namna ya kuzitofautisha hizo sayari hasa zinapokuwa zikionekana wakati wa usiku
ikifika mwezi wa tano mwanzoni sayari kama mars, venus zitaanza kuonekana pia sayari ya Jupiter itaanza kuonekana mwezi huo huo wa tano ...lakini hadi kufika mwaka huu mwisho ni sayari mbili zitakazo kuwa zikionekana sambamba ambazo ni mars na Venus...zitakuwa zikionekana kuanzia jioni baada ya jua kuzama .......ko utakuwa ni mda mzuri wa kujifunza mwendo wa sayari .,..lakini kwa sasa bado hizo sayari hazija anza kuonekana
Ila nisaidie kujua kitu kimoja mkuu, hyo telescope ni darubini yenye lenzi kali au ni kiyu gani haswa??Pmj mkuu hamna shida
Kwa nini?Kwa hiyo ivo vitu vinavoenda anga za mbali huwa havirudi
Kwa nini miezi hiyo? Na huwa zinaonekana zikiwa upande gani?ikifika mwezi wa tano mwanzoni sayari kama mars, venus zitaanza kuonekana pia sayari ya Jupiter itaanza kuonekana mwezi huo huo wa tano ...lakini hadi kufika mwaka huu mwisho ni sayari mbili zitakazo kuwa zikionekana sambamba ambazo ni mars na Venus...zitakuwa zikionekana kuanzia jioni baada ya jua kuzama .......ko utakuwa ni mda mzuri wa kujifunza mwendo wa sayari .,..lakini kwa sasa bado hizo sayari hazija anza kuonekana
inategemeana na mwendo wa hizo sayari kikifika kipindi hicho ndo zitaanza kuonekana vzr na zitakuwa nying zikionekana........ Kama kawaida Venus itakuwa ikionekana jion baada ya jua kuzama upande wa magharib na axubui kabla ya jua kuchomoza .......Jupiter huwa ina badirisha badirisha nasafi ko haina constant eneo....lakini malanying huwa inaonekana utosini na huwa ina ng'aa sana na si kwa kuifikia Venus lakini utaigundua Jupiter kwa ukubwa wake...maana yake itakuwa ikionekana kwa iking'aa sana lakin ata mwanga wake huwa ni mkubwa kuliko nyota.....mars nayo ina ng'aa lakini si kwa kuifikia Jupiter au Venus lakin utaigunduaje mars, mars yenyewe huwa inaonekana ikiwa imefifia na huwa na mwanga mwekundu kama ilivyo sayari yenyewe, na mara nyingi Venus na mars huwa zinaonekanaga upande mmoja............mercury hii sayari inatabia ya kujificha ko inakuwa ni vigumu sana kuigundua na kuiona.......lakin sayari ambazo huwa zinaonekana vzr ata kama haujaambiwa ni venus, mars,Jupiter, surtun, kutokana kutoa mwanga wa kung'ara............................namna ya kutazama hizo sayari ni wakati wa usiku na sehemu unayo angalizia kusiwe ni bushi sana( sehemu yenye miti mingi).....yafaa uwe sehemu open mfano uwanjani.......Kwa nini miezi hiyo? Na huwa zinaonekana zikiwa upande gani?
Ahsante brother. Na vipi kuhusu kuwepo uwezekano wa maisha katika sayari hii, wanasayansi wanasemaje?inategemeana na mwendo wa hizo sayari kikifika kipindi hicho ndo zitaanza kuonekana vzr na zitakuwa nying zikionekana........ Kama kawaida Venus itakuwa ikionekana jion baada ya jua kuzama upande wa magharib na axubui kabla ya jua kuchomoza .......Jupiter huwa ina badirisha badirisha nasafi ko haina constant eneo....lakini malanying huwa inaonekana utosini na huwa ina ng'aa sana na si kwa kuifikia Venus lakini utaigundua Jupiter kwa ukubwa wake...maana yake itakuwa ikionekana kwa iking'aa sana lakin ata mwanga wake huwa ni mkubwa kuliko nyota.....mars nayo ina ng'aa lakini si kwa kuifikia Jupiter au Venus lakin utaigunduaje mars, mars yenyewe huwa inaonekana ikiwa imefifia na huwa na mwanga mwekundu kama ilivyo sayari yenyewe, na mara nyingi Venus na mars huwa zinaonekanaga upande mmoja............mercury hii sayari inatabia ya kujificha ko inakuwa ni vigumu sana kuigundua na kuiona.......lakin sayari ambazo huwa zinaonekana vzr ata kama haujaambiwa ni venus, mars,Jupiter, surtun, kutokana kutoa mwanga wa kung'ara............................namna ya kutazama hizo sayari ni wakati wa usiku na sehemu unayo angalizia kusiwe ni bushi sana( sehemu yenye miti mingi).....yafaa uwe sehemu open mfano uwanjani.......
Pia wanaogopa visije tuletea magonjwa/vimelea vya magonjwa tusivyovijua.Ni kwa vyombo ambavyo vinaenda ktk sayari huwa havirudi kwa sababu umbali vilivyo tumia kwenda mfano chombo labda kimetumia miaka 10 kwenda nakulud kitatumia mda gani?..... 2.. Je hicho chombo kikiludi kitakuwa na kazi gani apa duniani ?...... 3..kikimaliza mission yake ndo unakuwa mwisho wa hicho chombo ko huwa wana vialibu huko huko may be kwa kuvitupia ktk hizo sayari hasa za gases mfn surtun ,Jupiter.. that's why huwa hizi mission huandaliwa bajeti kabsa ....hizo ni baadhi ya sababu zingine wataongezea....note: ni kwa vyombo vinavyo enda ktk sayari zingine ndo huwa haviludi......
Na kwa nini miezi mingine hazionekani?inategemeana na mwendo wa hizo sayari kikifika kipindi hicho ndo zitaanza kuonekana vzr na zitakuwa nying zikionekana........ Kama kawaida Venus itakuwa ikionekana jion baada ya jua kuzama upande wa magharib na axubui kabla ya jua kuchomoza .......Jupiter huwa ina badirisha badirisha nasafi ko haina constant eneo....lakini malanying huwa inaonekana utosini na huwa ina ng'aa sana na si kwa kuifikia Venus lakini utaigundua Jupiter kwa ukubwa wake...maana yake itakuwa ikionekana kwa iking'aa sana lakin ata mwanga wake huwa ni mkubwa kuliko nyota.....mars nayo ina ng'aa lakini si kwa kuifikia Jupiter au Venus lakin utaigunduaje mars, mars yenyewe huwa inaonekana ikiwa imefifia na huwa na mwanga mwekundu kama ilivyo sayari yenyewe, na mara nyingi Venus na mars huwa zinaonekanaga upande mmoja............mercury hii sayari inatabia ya kujificha ko inakuwa ni vigumu sana kuigundua na kuiona.......lakin sayari ambazo huwa zinaonekana vzr ata kama haujaambiwa ni venus, mars,Jupiter, surtun, kutokana kutoa mwanga wa kung'ara............................namna ya kutazama hizo sayari ni wakati wa usiku na sehemu unayo angalizia kusiwe ni bushi sana( sehemu yenye miti mingi).....yafaa uwe sehemu open mfano uwanjani.......
Kama nilivyo elezea mwanzo inategemeana na mwendo wa hizo sayari kila sayari inamwendo wake .......kuna mda zitaanza kuonekana kwa sababu zitakuwa zikikalibiana na dunia mfano Venus na mars ...that's why huwa zinaanza kuonekanaNa kwa nini miezi mingine hazionekani?
Ina kumbe orbit za sayari haziko katika duara lililo sawa? Ndio maana kuna wakati zinapozunguka kuna wakati zinakuwa mbali na dunia kuna wakati zinakuwa karibu na dunia, sio?Kama nilivyo elezea mwanzo inategemeana na mwendo wa hizo sayari kila sayari inamwendo wake .......kuna mda zitaanza kuonekana kwa sababu zitakuwa zikikalibiana na dunia mfano Venus na mars ...that's why huwa zinaanza kuonekana
Havirudi kupunguza bajeti ya kuvimantain mpaka kufika duniani pia safety issues hatuwezi jua kuna vimelea gani huko angani ambavyo vinaweza jishikiria na vikaja duniani tuletea matatizo!.Kwa hiyo ivo vitu vinavoenda anga za mbali huwa havirudi
kumbuka kwamba surface ya jupiter ni gesi na si rock kama ya duniani....pia sayari ya Jupiter kuna uhaba wa oxygen.,..pia hakuna mwanadamu atakaye subutu kwenda sayari ya Jupiter kutokana umbali uliopo pia na chombo cha uhakika ambacho kitambeba huyo mwanadamu ......general Jupiter si mahala salama kwa maisha ya mwanadamu labda waendelee kuichunguza sayari ya mars yenye kufanana mazingira na duniaAhsante brother. Na vipi kuhusu kuwepo uwezekano wa maisha katika sayari hii, wanasayansi wanasemaje?
Ina maana hii sayari hakuna udongo?kumbuka kwamba surface ya jupiter ni gesi na si rock kama ya duniani....pia sayari ya Jupiter kuna uhaba wa oxygen.,..pia hakuna mwanadamu atakaye subutu kwenda sayari ya Jupiter kutokana umbali uliopo pia na chombo cha uhakika ambacho kitambeba huyo mwanadamu ......general Jupiter si mahala salama kwa maisha ya mwanadamu labda waendelee kuichunguza sayari ya mars yenye kufanana mazingira na dunia