Mkuu Acha kupotosha tunataka tujifunze ukweli siyo siasa na dini ndio maana hii intelligence uongo nenda kwe siasa za Mturia wa kinondoniKingine umesahau kuhusu Jupiter huwa kunanyesha mvua ya almasi...
Inaonekana wewe ndio unajifunza leo juu ya hizi sayansi za anga na kudhani nawaongopea hapa, soma hata haka kalink ka BBC kakupe ufahamu...Mkuu Acha kupotosha tunataka tujifunze ukweli siyo siasa na dini ndio maana hii intelligence uongo nenda kwe siasa za Mturia wa kinondoni
Sorry mkuu nimeonaInaonekana wewe ndio unajifunza leo juu ya hizi sayansi za anga na kudhani nawaongopea hapa, soma hata haka kalink ka BBC kakupe ufahamu...
'Diamond rain' on Saturn and Jupiter
Mazombi na mavampayaPia wanaogopa visije tuletea magonjwa/vimelea vya magonjwa tusivyovijua.
Ni kwa vyombo ambavyo vinaenda ktk sayari huwa havirudi kwa sababu umbali vilivyo tumia kwenda mfano chombo labda kimetumia miaka 10 kwenda nakulud kitatumia mda gani?..... 2.. Je hicho chombo kikiludi kitakuwa na kazi gani apa duniani ?...... 3..kikimaliza mission yake ndo unakuwa mwisho wa hicho chombo ko huwa wana vialibu huko huko may be kwa kuvitupia ktk hizo sayari hasa za gases mfn surtun ,Jupiter.. that's why huwa hizi mission huandaliwa bajeti kabsa ....hizo ni baadhi ya sababu zingine wataongezea....note: ni kwa vyombo vinavyo enda ktk sayari zingine ndo huwa haviludi......
Acha ushamba ww nan kakwambia kutoka dunian hadi Jupiter ni km 500's million ....mim nimeandika kutoka jua hadi Jupiter.....pia umbali kutoka Jupiter hadi dunia sio constant una badilika....usisome kwa mihemko...uache uongo mr ....distance from earth to jupiter ni km 588milion tu kama hcho chombo kilikuwa kinaenda km lak 2.5 kwa saa basi kwa mwaka ni km bilion mbil this mean that kwwnda jupita ingetumia less than 4 month
Bado haujaeleweka .........yan taarifa za hivi huwaga zina utata umesema chombo kilitumia miaka saba kwenda jupita ?? unajua umbal wa kutoka dunian tu jupiter maana kama ilikuwa inaenda km laki 2.5 kwa saa maana yake kwa siku ilikuwa inaenda km milion 6 kwa mwaka ni km 2,190,000,000 ...kwa miaka saba zidisha kwa saba hapo ni
Juno iliondoka mwez August 2011 kutoka Florida USA na kuelekea Jupiter ...2016 Juno ilikuwa imekalibia mzingo wa Jupiter ... April 2017 Juno ilisha anza kuu kalbia mwez wa Callisto ...Juno ndicho chombo chenye speed kuliko chombo chochote kilicho tengenezwa na mwanadamu kikienda km laki 2.5 kwa saarotten cunt