Njooni Wanayanga tufurahie Ushindi hii Leo. Tunampiga mtu kipigo kibaya. Tukikosa points tatu Nipigwe Ban

Acha kuwadanganya wana uto wenzio maana kila wakichungulia wanao kichapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila siku tunawaambia heshimuni wakubwa wawape mbinu za kula kimasihara hamtaki
 
Harafu jana niliandaa wese baada ya ahadi yako hukutokea sasa leo weka tena watu tuje tujilie vyetu
 
Chizi huwa haponi
 
Chizi huwa haponi
nilitegemea mtakuja kama kawaida yenu. siwezi kukulaumu.... chakula ulichokula,malezi na jinsi ambavyo ulizaliwa vinaathiri sana ukuaji wako kiakili. so hapa bado hujasema. mpaka useme.
 
Acha kuwadanganya wana uto wenzio maana kila wakichungulia wanao kichapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila siku tunawaambia heshimuni wakubwa wawape mbinu za kula kimasihara hamtaki
wakikuchungulia wapi?
 
nilitegemea mtakuja kama kawaida yenu. siwezi kukulaumu.... chakula ulichokula,malezi na jinsi ambavyo ulizaliwa vinaathiri sana ukuaji wako kiakili. so hapa bado hujasema. mpaka useme.
Wewe mwenyewe ndiyo umejiita Chizi au tayari umeshasahau jina lako. Kweli chizi haponi
 
Kama sio goli la kibabage kukataliwa Leo point 7 zingekuwa mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…