LGE2024 Nkasi: Wanaodaiwa kutumwa na DC kulipua nyumba ya Mbunge Aida Kenani wakamatwa. Walitumia ‘pikipiki za Samia’

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ni wahuni tu wasio na hisani wenye kutumia vibaya nembo ya Samia.

Wamalizane huko huko na warudishe pikipiki zilizo mali za chama, CCM sio chama cha kuumiza watu isipokua ndani yake kuna wahuni kama hawa jamaa waliojipachika.
Hoja yako ni mfu.
Ni sawa na kusema uislamu sio ugaidi lakini magaidi wote duniani ni waislamu
 
Ni wewe ndio unaji entertain siwezi kukujibu, vinginevyo una hoja ambayo mimi siwezi kukujibu.
Ndio ujibu nilichokuuliza km huna jibu sema sina jibu kuliko kujipachika vyeo visivyokuhusu mara mjumbe mara mwenyekiti nimekwambia taja Shina sio cheo chako
 
M-'diaspora' mambo haya na huko kwenu yapo? EEEeeeenHHeeeeeh!

hapa tuna mpigania mama tu! Ni nani kama mama! Unaona haya mapikipiki?
Mapikipiki yamebeba petroli kwenda kuchoma nyumba moto ndio kazi yake hio?
 
Ndio ujibu nilichokuuliza km huna jibu sema sina jibu kuliko kujipachika vyeo visivyokuhusu mara mjumbe mara mwenyekiti nimekwambia taja Shina sio cheo chako
I got better things to do other than entertain a shallow mind.

In your pathetic little head you think JF has an audience to evaluate intellectual mind.

Na wewe ni miongoni mwao aargh
 
I got better things to do other than entertain a shallow mind.

In your pathetic little head you think JF has an audience to evaluate intellectual mind.

Na wewe ni miongoni mwao aargh
Badirisha lugha kwanza ili tuongee vizuri umesema wewe ni mjumbe wa nyumba 1 au mwenyekiti wa mtaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…