Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,877
- 4,522
Jiju swali unaloulizwa. Sizungumzii mikopo. Mimi ninazo hela NMB, sasa nilitaka kujua kama naweza kwenda kwa wakala kuwithdraw bila kadi. Nijibu swali hili achana na mambo ya salary advance me sitaki hayo mambo.Hello Marashi,
Hii ni huduma ya kuchukua kiasi cha mshara wako kabla ya siku ya mshahara kuweza kujikimu na shughuli mbalimbali
Sent using Jamii Forums mobile app