NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Kitambulisho kimojawapo kati ya hivi:
KADI YA MPIGA KURA,
LESENI YA UDEREVA,
HATI YA KUSAFIRIA,
KADI YA URAIA, na
KADI YA MKAZI/MZANZIBARI.

Na BARUA YA UTAMBULISHO yenye picha yako
toka serikali ya mtaa au kijiji.
 
Akaunti ya mwanachuo pindi mhusuka anapomaliza masomo nini kinaendelea ktk akaunti hiyo??

Je, huwa nmb bank mnaifungia au mhusika anaweza kuendelea kuitumia ktk issue zingine za kiamala??
 
Leo NMB mmeniharibia siku. Kuna ardhi nilikuwa ninunue leo Mbaya nimekosa kwa sababu ya Muamala kutokamilika kutoka saa 12 asubuhi mpaka muda huu. Naambiwa nitarudishiwa fedha after 72hrs. Disgusting indeed...
 
Nmb bank kuna matatizo sana yaani nikianza kuorodhesha hapa hapatoshi mikopo yao shida sana , wamekuwa waongo sana kwenye time flame nchi nzima tu ,

Huduma yenu ya salary advance kuna baadhi ya akaunti haitaki kabisa hata ulazimishe vipi _, shida tupu
 
Makato ya nmb mobile ni makubwa sana.nilidhani itakuwa mkombozi wetu lakini ni maumivu .hadi mteja unaamua bora kuach a pesa kwenye acc ya simu tu kuliko kuihamishia acc ya nmb.
 
Naomba maelekezo; NMB ilitangaza ina uwezo wa kununua madeni ya wateja waliokopa bankinyingine.

Pia, mlitoa taarifa kuwa ribazenu ni ndogo, hivyo, mkinunua/ kuhamisha deni, mteja anaweza kunufaika kwa kulipa deni kidogo au kupata cha juu. Je, bado issue hii katika hizo scenarios mbili ipo? Na kama ipo, utaratibu ukoje?

Mfano, kutoa mkopo CRDB wa Tsh 12,000,000( bado miezi 36 ya kulipa) na kuuleta kwenu, ni faida ipi zaidi itapatikana?
 
NMB Tanzania tawi la Kibondo, Kigoma nashauri kitengo cha mikopo wabadilishwe staff sababu hawawezi kukuruhusia mkopo kama hujawapatia kuanzia 50k to 100k, na ukileta ubishi utasota mpka ile kwako, this is unacceptable kwa hii awamu
 
NMB Tanzania tawi la Kibondo, Kigoma nashauri kitengo cha mikopo wabadilishwe staff sababu hawawezi kukuruhusia mkopo kama hujawapatia kuanzia 50k to 100k, na ukileta ubishi utasota mpka ile kwako, this is unacceptable kwa hii awamu

Sasa kama unao ushahidi wa jbo hilo , toa taarifa za siri kwa ofisi ya usalama wa taifa iliyo karibu nawe , au ofisi ya takukuru wilaya uliyopo au fika kwa mkuu wa wilaya uliyopo , kama hayo uyasemayo yana ushahidi pia onyesha kama uliwahi kufikisha mallamiko yako kwa manager wa tawi huska kwa barua na , na pia hakikisha ulitoa mallamiko yako katika masanduku ya maoni kwa maandishi na hakikisha unazo copy za hatua hizo zote , kama bado basi unawza kuwasiliana na mtendaji mkuu wa nmb bank PLC , nadhani umenielewa , acha kulalamika wakati hujafuata hatua yoyote kufimisha malalamiko yako popote!
 
Sasa kama unao ushahidi wa jbo hilo , toa taarifa za siri kwa ofisi ya usalama wa taifa iliyo karibu nawe , au ofisi ya takukuru wilaya uliyopo au fika kwa mkuu wa wilaya uliyopo , kama hayo uyasemayo yana ushahidi pia onyesha kama uliwahi kufikisha mallamiko yako kwa manager wa tawi huska kwa barua na , na pia hakikisha ulitoa mallamiko yako katika masanduku ya maoni kwa maandishi na hakikisha unazo copy za hatua hizo zote , kama bado basi unawza kuwasiliana na mtendaji mkuu wa nmb bank PLC , nadhani umenielewa , acha kulalamika wakati hujafuata hatua yoyote kufimisha malalamiko yako popote!
Thanks,but umeconclude vibaya. Ulitakiwa uconclude baada ya kuwa umeniuliza hayoyote na kuona jinsi ninavyokujibu sababu sio busara kuelezea yote publicly niliyokutatana nayo.
 
NMB mobile gharama ya kuingia mara moja ninakatwa 5000, hii siyo sawa, huu ni zaidi ya unyang'anyi.
 
Ongezeni ATM Dodoma hasa maeneo ya pembezoni imeshakuwa jiji, yani ukitaka huduma hadi mjini
 
Mnafanya kazi nzuri sana , ila kuna baadhi ya wafanyakazi wachache wanawaharibia sifa katika idara mbalimbali mfano : mikopo ya jumla yaani mikopo ya wafanyakazi na binafsi jaribu kufanya analysis ya malalamiko mtaona hili, lakini kuna wafanyakazi wanatoa huduma mpaka unasikia raha sana kuhusumiwa
Keep it up!
 
Mishahara ikiwekwa tuwe tunajulishwa kama zamani kwa nmb mobile co inaingia kimyakimya. Naomba mshughulikie hilo.
 
Wahudumu wenu wanaokaa.kwenye atm kwa msaada wa nmb mobile.majibu.yao hayaridhishi unataka huduma.hiyo wanakwambia namba zao hizo ndani kwenye atm.wapigie
 
Nmb kwa kweli mnabore Sana, nimetoa hela kupitia app yenu hela kwenye acvount haipo hata m pesa haijafika,majibu yenu mepesi sana hamjui hadi MTU anatoa hela anashida gani
 
Hapo NMB Dodoma Brach..kuna afande mmoja yupo ndani Pale Yeye uwa Ni kufukuza Wateja Tu.Kauli zake Ni Mbaya.Kuna Siku Nafika Kufanya Transaction pale Nikawa Very Disappointed na Kauli zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama hawa ni wa kuwapotezea ....mjinga sana kazi ya ulinzi wa benki na yeye anajiona ni mfanyakaz wa umo ndani[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom