Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NMB Mmenifedhehesha sana, mshahara umeingia kwenye account yangu ya NMB, mimetoa pesa kwa NMB Moile nakuziweka M-pesa, pesa bank kwenye account yangu zikatoka lakini hazikufika kwenye M-pesa, huu niusumbufu sasa familia yangu itaishije? kama huduma hii haipo nibora muitoe kwenye system kwani huu niusumbufu mkubwa, nimefedheheka sana na sijui pesa yangu kama itarudi kwenye account, na wala sijui itachukua muda gani!! NMB Mmeniumiza sana!
Kuna mtu amekopa pesa NMB sasa akataka kwenda kulipa lile deni kwa sababu amepata pesa nyingi hivyo hataki tena madeni alipoenda katika ofisi za mkoa aliopo akaambiwa haiwezekani kufanya hivyo. Sasa naomba kujua kutoka kwenu je hili limekaaje?
Aende kwa MD wa Bank