Adolph Sendeu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 269
- 123
Mtu akifungua Account kwa utaratibu wenu huwezi kupata ATM card siku hiyo hiyo, ni kwa nini?
Kutokana na sababu hiyo, kama akiwa na shida ya fedha kabla hajapata ATM CARD analazinika kwenda kutolea fedha COUNTER.
Gharama ya kutolea fedha counter (TELLER WITHDRAWAL FEE) ni 3,400/= kwa muamala mmoja ambapo gharama ya kutoa fedha kwa ATM CARD ni 1,000/= kwa muamala mmoja.
Upatikanaji wa kadi hiyo mtu akipata mapema sana ni wiki mbili wanazosema lakini inawezekana muda mrefu zaidi ya mwezi. endapo kwa kipindi hicho mtu atakuwa na mahitaji ya fedha toka benk mara kadhaa, ataingia gharama kubwa za kutolea fedha COUNTER jambo ambalo linasababishwa na NMB yenyewe
USHAURI
1. Mteja ni mfalme anahitaji kubembelezwa
2. Kutokuwa na ATM CARD si kosa lake bali ni NMB kushindwa kumpa CADR papo hapo anapofungua Account
3. System ya NMB isome na kumtambua mteja mpya mpaka atakapopewa ATM CARD
4. System ya NMB kwa kumtambua mteja mpya imkate 1,000/= au chini ya hapo lwa kila muamala wa kutoa fedha mpata atakapopatiwa ATM CARD yake.
5. System ya NMB imtambue nteja aliyekwisha kupatiwa kadi kama myeja wa kawaida na endapo atachukulia fedha counter achajiwe hiyo 3,400/=
6. Kiwango cha 3,400/= kwa muamala ni kikubwa mmno bora kipunguzwe kuwa 2,000/=
Kutokana na sababu hiyo, kama akiwa na shida ya fedha kabla hajapata ATM CARD analazinika kwenda kutolea fedha COUNTER.
Gharama ya kutolea fedha counter (TELLER WITHDRAWAL FEE) ni 3,400/= kwa muamala mmoja ambapo gharama ya kutoa fedha kwa ATM CARD ni 1,000/= kwa muamala mmoja.
Upatikanaji wa kadi hiyo mtu akipata mapema sana ni wiki mbili wanazosema lakini inawezekana muda mrefu zaidi ya mwezi. endapo kwa kipindi hicho mtu atakuwa na mahitaji ya fedha toka benk mara kadhaa, ataingia gharama kubwa za kutolea fedha COUNTER jambo ambalo linasababishwa na NMB yenyewe
USHAURI
1. Mteja ni mfalme anahitaji kubembelezwa
2. Kutokuwa na ATM CARD si kosa lake bali ni NMB kushindwa kumpa CADR papo hapo anapofungua Account
3. System ya NMB isome na kumtambua mteja mpya mpaka atakapopewa ATM CARD
4. System ya NMB kwa kumtambua mteja mpya imkate 1,000/= au chini ya hapo lwa kila muamala wa kutoa fedha mpata atakapopatiwa ATM CARD yake.
5. System ya NMB imtambue nteja aliyekwisha kupatiwa kadi kama myeja wa kawaida na endapo atachukulia fedha counter achajiwe hiyo 3,400/=
6. Kiwango cha 3,400/= kwa muamala ni kikubwa mmno bora kipunguzwe kuwa 2,000/=