Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nyie mnaakili kweli?,hiii pesa mnanikopesha au ni yangu niliiweka ili mnihifadhie ?,inakuwaje nikija kuitoa kwa shida zangu binafsi mnataka kujua NATOA KWA AJILI YA MATUMIZI GANI?,aisee this is too much na mnavuka mipaka...........JIBU LA HII FOMU KWA JINSI NILIVYOIJAZA NI UJUNBE TOSHA KWENU,msinipangie wala kutaka kujua matumizi ya pesa zangu.
Mm nataka kufungua akaunt
NMB Wekeni huduma ya ATM mji wa PERAMIHO wilaya ya Songea mkoa wa Ruvuma.
Mji huo ni mkubwa sana na karibu nusu ya wananchi wa wilaya ya Songea wanapata huduma mbalimbali za kijamii katika
huo mji.
Mji una wafanyabishara wengi na matajiri wa kutosha.
Huduma karibu zote za kijamii zinapatikana Peramiho, ATM zenu zipo Songea mjini tu. Mbinga na Tunduru ni mbali sana.
Tunahitaji ATM za NMB hapa Peramiho haraka iwezekanavyo.
NMB tangu tarehe 15/11/2017 nilipokuja kwaali ya kufungua account ya mtoto mpaka leo hakuna taarifa yoyote ya hiyo account japo nilikuja tena kutaka kujua kama kuna shida mwezi wa kwanza mwaka huu mkaandika na namba za simu mkiahidi kunipigia lakinimpaka leo hakuna jipya hii nini maanayake sasa naomba mlifanyie kazi sasa kama mtafikiwa na ujumbe huu mnijibu ili nitoe maelezo ya account yenyeweMm nimefungua ila kad yang had leo sijapewa sijui shida ni nn
Endapo ukiacha kuitumia bila kujitoa nini madhara yake?Kwa nini,mteja akitaka kujitoa Nmb -mobile wanagoma.?
nataka kujitoa,..Maana naskia hata zle sms uki-draw pesa atm,zinazokupa notification wanakata salio akauntEndapo ukiacha kuitumia bila kujitoa nini madhara yake?