Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Mimi hizi sijawahi kuzipata.zle sms uki-draw pesa atm,zinazokupa notification
huwa napata SMS za notification endapo mtu akidepost hela tu kwenye Account yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hizi sijawahi kuzipata.zle sms uki-draw pesa atm,zinazokupa notification
Mbona kujitoa simple tu, we renew line uluojiungia nmb mobileKwa anayejua wanakokotoaje makato hasa kwa NMB-Mobile ukiangalia salio.Maana nilikuwa na salio la Tshs 350 kwenye simu,kuangalia tu salio kwa nmb-mobile mara moja nimebakiwa na Tsh 44.65 dah...Na kule akaunti sijui wanakata ngapi?...Pili: Kwa nini,mteja akitaka kujitoa Nmb -mobile wanagoma.?
Ningependa kweli mimi kupata message za taarifa kuwa watu wameniingizia hela,huwa sizipati.Hizi za kuwa nimetoa napata.Mimi hizi sijawahi kuzipata.
hiuwa napata SMS za notification endapo mtu akidepost hela tu kwenye Account yangu
Ningependa kweli mimi kupata message za taarifa kuwa watu wameniingizia hela,huwa sizipati.Hizi za kuwa nimetoa napata.
Mkuu faida za NMB mobile ni nyingi ukilinganisha na hela wanazokata,mbona ni kidogo sana.Anyway kila mtu ana mtizamo wake.nataka kujitoa,..Maana naskia hata zle sms uki-draw pesa atm,zinazokupa notification wanakata salio akaunt
Sina hiyo notification mkuu,na ningependa kweli kuipata bila kuhangaika kuangalia salio.Sijui tatizo ni nini.
Maana huduma ninayoipata mimi wewe huipati na kinyume chake pia.
Sikujua kama kuna notificationa kwa njia SMS pindi utoapo Pesa kwenye Account
Mkuu faida za NMB mobile ni nyingi ukilinganisha na hela wanazokata,mbona ni kidogo sana.Anyway kila mtu ana mtizamo wake.
Sina hiyo notification mkuu,na ningependa kweli kuipata bila kuhangaika kuangalia salio.
Mkuu hivi mtu anaweza kutoka hela kwenye account yako akiwa na ATM card yako bila kuwa na password(namba ya siri),hebu nitonye,maana mimi nilidhani haiwezekani.Kweli faida zipo.
Unaweza kuokoa pesa endapo ukakutana na matapeli wanaoiba ATM card na kukimbilia kutoa pesa ATM zingine kwa kuhamishia pesa M-Pesa au mtandao uliojiungia NMB mobile.
Mimi huwa wa kuingiziwa pesa siupati,itabidi niwaone NMB.Mkuu
Nmb Notification Ipo Unapotoa Pesa Kwenye Account Yako
Unapoweka Pesa Kwenye Account
Yaani Full Ujumbe
Pw nitajaribu hilo....Mbona kujitoa simple tu, we renew line uluojiungia nmb mobile
Wanatupga kinoma yaani....Yani haya mabenki yanamkamua mwananchi sana,ukitaka kutoa milioni ni lazima utoa mara tano,maana wameweka 5000 note tu na ukitoa mara tano unakatwa charges 5 times...Ni wizi Mkubwa.
Basi tupo wengi....Mimi piaMimi huwa wa kuingiziwa pesa siupati,itabidi niwaone NMB.
Au withdrawal ikifanyikaMimi hizi sijawahi kuzipata.
hiuwa napata SMS za notification endapo mtu akidepost hela tu kwenye Account yangu
Nmb sina shida nao,...shida ipo voda,wanakata sh ngapi kufanya muamala benk?Mkuu faida za NMB mobile ni nyingi ukilinganisha na hela wanazokata,mbona ni kidogo sana.Anyway kila mtu ana mtizamo wake.
Mkuu sijui,mimi huwa natumia Tigo kwa NMB mobile kwenda TigoPesa,ila sijawahi ku-check wanakata ngapi,lakini inaelekea costs zao ni reasonable.Ila Jana nimefanya transaction kwenda HaloPesa,mm,wamenistua sana.Nmb sina shida nao,...shida ipo voda,wanakata sh ngapi kufanya muamala benk?
Hii mpya mi najua kutoa milioni unatakiwa kutoa maratatu maana maximum kwa mkupuo ni lakini nneYani haya mabenki yanamkamua mwananchi sana,ukitaka kutoa milioni ni lazima utoa mara tano,maana wameweka 5000 note tu na ukitoa mara tano unakatwa charges 5 times...Ni wizi Mkubwa.