NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

Makato kutoa pesa dirishani ni makubwa kwa sababu wana discourage foleni, na watanzania hatuna desturi ya kujiongeza .
Kuweka pesa kwa wakala ni bure kabisa lakini utakuta mtu anakomaaa na foleni za benki kwa masaa, kulipa ada za shule au tozo za serikali
 
Possibly ametumia atm tofauti na ya benki yake kupitia Visa card au MasterCard yake ndio maana makato ni makubwa, Mimi walinikata 12,000/=
Ila for sure hizi benki zetu local ukitumia atm tofauti wanakata sana sijui kwanini wakati ni ishu ya local interbanking systems ile tiss [emoji26]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Duh mkuu umenifungua macho sikuwa nayajua haya, wameweka vikolokolo vingi kutulevya maboya
 
Hiyo ni ada ya risiti au stetement, sijakuelewa vizuri, unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka!
Haitoki automatic unaulizwa unahitaji receipt unaponyeza yes au No
 
Poleni sana, unadhani watatoaje Gawio bila kufanya hivyo...
 
Hivi gharama zipoje kwa
Anayetoa ndani kwa Bank teller?
Anayetoa kwenye ATM
anayetoa kwa wakala
Anayeivuta kwenye simu kutoka Bank
Anayetoa kwenye ATM gharama ni nafuu kuliko hizo njia nyingine mkuu!!
 
Kuomba risiti huwa ni bure gharama huwa ni Ile withdrawal fee ambayo ni Kama buku tu...nenda bank kaombe statement watakuelewesha hyo elfu imekatwa ya nini
 
First year huyo ashajua kutumia ATM bas shida tupu,makato huwa ni 1,000 tu,acha uongo!!
 
Bado nalia hivi vyama vya wafanyakazi, hili limo ndani ya uwezo wao lakini wameuchuna kama hawaoni kinacho endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…