Unakua kama unaomba msaada wakati ni hako yakoLengo la benki wanakulazimisha ukope tena kwao hiyo tabia ni kawaida sanaa kwa benki za bongo, wanakopesha ili wakufilisi kwa kushindwa kulipa sasa hapo wakutegemea kama utamaliza, hati utapewa ila baada ya kuisotea .
Polisi hii hii ninayoijua mimi au kuna nyingine?Awahusishe vyombo vya usalama polisi, waingilie kati
Shukrani
NMB imekua ya ajabu sana siku iziNMB inashida gani?? Tawi lao la pale Mbezi Beach Africana ni wezi wezi sana
Imekua hatari sana hii ndio ile mwenye nacho ataongezewa asiekuwanacho hata kidogo alichonacho atapokonywaBenki zipo kwa ajili ya kuwakaba masikini na kuwanufaisha matajiri.
Yaani zinahakikisha gepu katika ya hawa wawili linazidi kuwa kubwa
Tatizo ni Mama mtu mzima mambo ya kesi anaogopaCase tamu sana hii pesa nje njee asee watu mna kaa na case zenye pesa na hamsemiii daah.
Yote hayo ya kuandika barua ameshafanya imagine 5years kila siku wanasema utapigiwa simuUnaweza kuta nyumba walishauza maana walijua hataweza toboa malipo! Hapo aandike barua kwa meneja wa benki au branch kuomba hati, kama asipopewa jibu zuri basi atafute wakili matata! Hapo ni kesi anafungua na kuomba fidia ya usumbufu!
Pia akishaandika barua asipopewa majibu mazuri anaweza peleka TAKUKURU wa eneo hilo then takukuru watamuita yeye pamoja na meneja wa benki atoe ufafanuzi!
Lah!Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.
Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?
Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.
NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Hapana. Maneno ya mdomoni asikubali. Kila anapokwenda kudai, inatakiwa pawepo na nyaraka za kumbukumbu zinazoonyesha anavyozungushwa.Yote hayo ya kuandika barua ameshafanya imagine 5years kila siku wanasema utapigiwa simu
Je ana kumbukumbu zote za malipo ya marejesho? Huo utakuwa uthibitisho kwamba alikopa benkiJuzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.
Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?
Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.
NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Yote hayo wameshafanya juzi tu hapa ameenda ameambiwa "nenda tutakupigia simu" hii ni mpaka lini yani mtu anasuburi kupigiwa simu kwa miaka 5 kweli?Ungefuata taratibu ungewasiliana na bank husikia unaweza ukawa umekurupuka kuja mtandaoni kuleta lawama, ungemtafuta mkurugenzi mkuu kama unataka kusaidia
Amefata process zote na barua ya kuomba hati aliandika lakini kila akienda anaambiwa aondoke tu atapigiwa simu. NAOMBA TUSAIDIANE KUPATA HAKI YA HUYU MAMANdugu Zangu Majizi Yapo Hata Bank
Alipokopa Mkopo Alipewa Mkataba Unaoonyesha Pesa Na Makato Kila Mwezi Na Mwaka Wa Kumaliza. Kama Mleta Mada Huyo Mzee Wako Anao Anaweza Kukuonyesha
Warudishe Hati Hapa JF Hili Jambo Halitapita Kimya Tawi Husika Wafanye Hima
Ipo hivi huwa anaenda Bank kufuatilia hati lakini akifika anaambiwa "NENDA TUTAKUPUGIA SIMU" KWA MIAKA 5 SASA na ameshaonana hadi na meneja wa Benk akampa kijana wa kufatilia huyo kijana na yeye kamwambia siku fulani urudi utakuta tayari, hiyo siku imefika amerudi anaambiwa "MAMA WEWE NENDA TU NITAKUPIGIA SIMU NITAITAFUTA" kwa hiyo akiendelea kusubiri kupigiwa simu si itachuka miaka 10 aiseeeLah!
Mwambie huo mama achunge namba sana.
Kumbukumbu zake zote zinazohusiana na mkopo na ulipaji wa mkopo awe nazo karibu sana. hao Benki wasije kuibuka na kutaka kunadi nyumba.
Lakini kwa maelezo yako, hujasema lolote Benki wanasemaje kuhusu mkopo huo. Wanamwambia mama nini kuhusu kurudishiwa hati yake. Wewe umesema "anazungushwa tu", anazungushwa vipi, na nani kwenye hiyo Benki. Ni nani hasa anashughulikia swala lake moja kwa moja. Kisha fika kwa meneja wa tawi? Kaambiwa nini, tueleze nasi tujue kabla hujatushirikisha katika kuwalaumu Benki.
Atapewa Na Endapo Wanangoja Kuuziana Wstaumbuka Sasa, Tanzania Shida SanaAmefata process zote na barua ya kuomba hati aliandika lakini kila akienda anaambiwa aondoke tu atapigiwa simu. NAOMBA TUSAIDIANE KUPATA HAKI YA HUYU MAMA
Kila kitu anacho mzeeJe ana kimbukumbu zote za malipo ya marejesho? Huo utakuwa uthibitisho kwamba alikopa benki
Hapo nimetumia akili za kuvukia barabara
Hii inawezekana kweli?Aende kwa mwanasheria, na adai fidia ya usumbufu!!
Hangereni kwa kutunza kimbukumbu mahamakama ya ardhi je mmewaona kwa ushauri zaidi. I think they are more knowledgeableKila kitu anacho mzee