NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote

 NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote

Status
Not open for further replies.
Ipo hivi huwa anaenda Bank kufuatilia hati lakini akifika anaambiwa "NENDA TUTAKUPUGIA SIMU" KWA MIAKA 5 SASA na ameshaonana hadi na meneja wa Benk akampa kijana wa kufatilia huyo kijana na yeye kamwambia siku fulani urudi utakuta tayari, hiyo siku imefika amerudi anaambiwa "MAMA WEWE NENDA TU NITAKUPIGIA SIMU NITAITAFUTA" kwa hiyo akiendelea kusubiri kupigiwa simu si itachuka miaka 10 aiseee
Nyinyi mnaomfahamu huyo mama na munao uelewa wa kutosha, msaidieni.
Kwanza kabisa, maneno ya mdomoni tu hayasaidii chochote. Inatakiwa pawepo na kitu, karatasi ya ushahidi kuwa hivyo alivyo ambiwa kwa miaka mitano ndivyo kweli.
Ni lazima aweke katika maandishi lawama zake zote tokea alipoanza kuzungushwa. Majina ya watu alioonana nao huko Benki anayo?
Ni lazima pawepo na ushahidi wa kimaandishi. Kama Benki hawajibu, hilo litakuwa tatizo lao, siyo lake.
Nyaraka za mkopo zipo, hakupewa mkopo kwa kutumia maneno ya mdomoni tu. Malipo kafanya, natumaini siyo kwa mdomo tu, bali stakabadhi zote anazo; na pengine hata barua ya Benki kuonyesha kwamba hadaiwi tena baada ya kulipa kila kitu, anayo.
Tahadhari: Asije kuwa analipa na pesa haiingizwi kwenye 'account' yake. Asije akashangaa mwisho wa siku anaambiwa mkopo bado haujalipwa.
Awahusishe na viongozi wa kijamii, kama hawezi kwa sasa kwenda mahalkamani.

Kwenda Benki na kupewa taarifa ya mdomo anapoteza tu muda wake.
 
utakuta tayari, hiyo siku imefika amerudi anaambiwa "MAMA WEWE NENDA TU NITAKUPIGIA SIMU NITAITAFUTA" kwa hiyo akiendelea kusubiri kupigiwa simu si itachuka miaka 10 aiseee
Kwa nini asubiri tena kupigiwa simu? Arudi kwa meneja na awe na barua ya kujieleza alivyozungushwa kwa muda mrefu kuhusu swala hilo. Benki itabidi sasa wajue kuwa mama yupo tayari kwenda mbele zaidi kama hawatoi ushirikiano mara moja.

Mbona nasi tunazungushana humu kwenye swala ambalo linaonekana wazi? (kama hakuna taarifa nyingine ambazo bado hatujaambiwa humu)..
 
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.

Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?

Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.

NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Awapeleke mahakaman watampa na fidia
 
Takukuru then ndo kwa wakili, apewe demand notice ya kupeleka NMB then mahakamani
Acheni ujuaji wa kushauri vitu ambavyo hamvijui. TAKUKURU akafanye nini?

The best solution ni kumuona Wakili ambaye atamuandikia demand notice and an intention to sue au Kwa Kiswahili inaitwa HATI YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI.

WAKILI aipe Benki siku kadhaa (30 zinatosha) kuhakikisha kwamba wame-release Hati ya nyumba ya mteja wake, aombe na fidia ya usumbufu na gharama za huduma ya Wakili (Mimi hapo ningeomba 10 million) ili waki-bargain watoe hata 7 million.

Niliwahi kuwa na scenario kama hii Dodoma, Benki ilikuwa CRDB, niliwachapa demand notice ya siku 21 nikaomba na fidia ya million 7, ilivofika siku ya 9 Meneja wa Tawi akanipigia simu niende ofisini kwake nikiwa na mteja wangu. Kufika akaanza kuwa mpole, ooh unajua wateja wakikopa Huwa hati tunazipeleka Makao makuu ya benki Dsm [emoji28][emoji28]

Baadaye wakabembeleza wakatoa mil 3 na kuahidi kui-release hati baada ya siku 3, tukasepa zetu na mteja wangu na kibunda chetu, baada ya siku 3 akarudishiwa hati yake.

Hao sio wa kuwachekea.
 
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.

Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?

Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.

NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Hiyo pesa wapelekeni mahakamani na mdai fidia.
 
Acheni ujuaji wa kushauri vitu ambavyo hamvijui. TAKUKURU akafanye nini?

The best solution ni kumuona Wakili ambaye atamuandikia demand notice and an intention to sue au Kwa Kiswahili inaitwa HATI YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI.

WAKILI aipe Benki siku kadhaa (30 zinatosha) kuhakikisha kwamba wame-release Hati ya nyumba ya mteja wake, aombe na fidia ya usumbufu na gharama za huduma ya Wakili (Mimi hapo ningeomba 10 million) ili waki-bargain watoe hata 7 million.

Niliwahi kuwa na scenario kama hii Dodoma, Benki ilikuwa CRDB, niliwachapa demand notice ya siku 21 nikaomba na fidia ya million 7, ilivofika siku ya 9 Meneja wa Tawi akanipigia simu niende ofisini kwake nikiwa na mteja wangu. Kufika akaanza kuwa mpole, ooh unajua wateja wakikopa Huwa hati tunazipeleka Makao makuu ya benki Dsm [emoji28][emoji28]

Baadaye wakabembeleza wakatoa mil 3 na kuahidi kui-release hati baada ya siku 3, tukasepa zetu na mteja wangu na kibunda chetu, baada ya siku 3 akarudishiwa hati yake.

Hao sio wa kuwachekea.
Umekata shauri, kama hakuna mengine ambayo hatujaelzwa.
 
Acheni ujuaji wa kushauri vitu ambavyo hamvijui. TAKUKURU akafanye nini?

The best solution ni kumuona Wakili ambaye atamuandikia demand notice and an intention to sue au Kwa Kiswahili inaitwa HATI YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI.

WAKILI aipe Benki siku kadhaa (30 zinatosha) kuhakikisha kwamba wame-release Hati ya nyumba ya mteja wake, aombe na fidia ya usumbufu na gharama za huduma ya Wakili (Mimi hapo ningeomba 10 million) ili waki-bargain watoe hata 7 million.

Niliwahi kuwa na scenario kama hii Dodoma, Benki ilikuwa CRDB, niliwachapa demand notice ya siku 21 nikaomba na fidia ya million 7, ilivofika siku ya 9 Meneja wa Tawi akanipigia simu niende ofisini kwake nikiwa na mteja wangu. Kufika akaanza kuwa mpole, ooh unajua wateja wakikopa Huwa hati tunazipeleka Makao makuu ya benki Dsm [emoji28][emoji28]

Baadaye wakabembeleza wakatoa mil 3 na kuahidi kui-release hati baada ya siku 3, tukasepa zetu na mteja wangu na kibunda chetu, baada ya siku 3 akarudishiwa hati yake.

Hao sio wa kuwachekea.
Kama unaweza kumsaidia huyu mama. Fanya hivyo tafadhali.
 
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.

Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?

Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.

NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Hebu acheni ujinga, nenda karipoti kwamba hati imepotea (loss report), baada. Ya hapo fuata taratibu ili upewe nyingine.
 
Mbona rahisi tu. Mama aende kwa Wakili yeyote kama kweli kamaliza deni na ushahidi anao afungue kesi pamoja na kudai fidia kwa miaka hiyo yote akisema nyumba yake alitaka kukopea tena na hivyo kukalia HATI yake amepata hasara ya millioni 100. NMB ni billionea watamlipa tu.
 
Acheni ujuaji wa kushauri vitu ambavyo hamvijui. TAKUKURU akafanye nini?

The best solution ni kumuona Wakili ambaye atamuandikia demand notice and an intention to sue au Kwa Kiswahili inaitwa HATI YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI.

WAKILI aipe Benki siku kadhaa (30 zinatosha) kuhakikisha kwamba wame-release Hati ya nyumba ya mteja wake, aombe na fidia ya usumbufu na gharama za huduma ya Wakili (Mimi hapo ningeomba 10 million) ili waki-bargain watoe hata 7 million.

Niliwahi kuwa na scenario kama hii Dodoma, Benki ilikuwa CRDB, niliwachapa demand notice ya siku 21 nikaomba na fidia ya million 7, ilivofika siku ya 9 Meneja wa Tawi akanipigia simu niende ofisini kwake nikiwa na mteja wangu. Kufika akaanza kuwa mpole, ooh unajua wateja wakikopa Huwa hati tunazipeleka Makao makuu ya benki Dsm [emoji28][emoji28]

Baadaye wakabembeleza wakatoa mil 3 na kuahidi kui-release hati baada ya siku 3, tukasepa zetu na mteja wangu na kibunda chetu, baada ya siku 3 akarudishiwa hati yake.

Hao sio wa kuwachekea.
Ushauri mzuri sana. Asante
 
Mbona rahisi tu. Mama aende kwa Wakili yeyote kama kweli kamaliza deni na ushahidi anao afungue kesi pamoja na kudai fidia kwa miaka hiyo yote akisema nyumba yake alitaka kukopea tena na hivyo kukalia HATI yake amepata hasara ya millioni 100. NMB ni billionea watamlipa tu.
Inabidi kupata wakili mzuri
 
Acheni ujuaji wa kushauri vitu ambavyo hamvijui. TAKUKURU akafanye nini?

The best solution ni kumuona Wakili ambaye atamuandikia demand notice and an intention to sue au Kwa Kiswahili inaitwa HATI YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI.

WAKILI aipe Benki siku kadhaa (30 zinatosha) kuhakikisha kwamba wame-release Hati ya nyumba ya mteja wake, aombe na fidia ya usumbufu na gharama za huduma ya Wakili (Mimi hapo ningeomba 10 million) ili waki-bargain watoe hata 7 million.

Niliwahi kuwa na scenario kama hii Dodoma, Benki ilikuwa CRDB, niliwachapa demand notice ya siku 21 nikaomba na fidia ya million 7, ilivofika siku ya 9 Meneja wa Tawi akanipigia simu niende ofisini kwake nikiwa na mteja wangu. Kufika akaanza kuwa mpole, ooh unajua wateja wakikopa Huwa hati tunazipeleka Makao makuu ya benki Dsm [emoji28][emoji28]

Baadaye wakabembeleza wakatoa mil 3 na kuahidi kui-release hati baada ya siku 3, tukasepa zetu na mteja wangu na kibunda chetu, baada ya siku 3 akarudishiwa hati yake.

Hao sio wa kuwachekea.
Boss naomba utupe msaada wa kisheria inaonekana unaexperience na haya masuala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom