Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Umesikiliza upande wa rafiki yako
Vipi umewasikiliza NMB wanasemaje?
Vipi umewasikiliza NMB wanasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada ukipatikana, toa mrejeshoJuzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana.
Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa hivi hawajahifadhi hati ya huyu mteja kwamba akimaliza mkopo wamrudishie mali yake?
Ziadi ya miaka 4 wanamzungusha mama wa watu amejaribu hata kutafuta watu anaojuana nao huko NMB ila nao hawasaidii kitu hebu anayeweza kufikisha taarifa, afikishe.
NMB tawi la SENGEREMA kuna mtu anataka kumpiga huyo Mama nyumba yake. Sio sawa
Pia soma
Naomba msaada wa wakili mzuri aliyepo Sengerema, Mwanza atakayeweza kusaidia hili suala la NMB kugoma kutoa hati ya mteja wao kwa miaka mitano
Itakua nao pia wameichukulia mkopo...Duhhhh! Kwanini wagome sasa au kuna mambo hawajayaweka sawa???
Sio poa lo
😁😁😁Itakua nao pia wameichukulia mkopo..
Ushauri mzuri, lakini naona 'Nyabukika' nadhani anayake mengineaende mahakamani, asije akawa time barred kufungua kesi, and the case will be based on breach of contract and therefore time limitation is six years. Mshauri aende mahakamani upesi
Watu wametoa hadi namba za simu hapa! Huyo mama hatoi hela yoyote kwa wakili, hadi hapo shauri litakapo amriwa, kama Benki wataweka ngumu na kutaka kwenda mahakamani.Wanaleta utani na mali za watu. Nipigie simu kwenye Namba hihi 0742231570 nikawasha fire watatoa TU!
Lakini, miaka mitano; kungekuwa na shauri upande wa Benki, hiyo nyumba ingekuwa tayari imepigwa mnada.Umesikiliza upande wa rafiki yako
Vipi umewasikiliza NMB wanasemaje?
NMB wenyewe wanasemaje?Lakini, miaka mitano; kungekuwa na shauri upande wa Benki, hiyo nyumba ingekuwa tayari imepigwa mnada.
Hawawezi kusubiri miaka mitano bila huyo mama kulipa chochote, kama kuna chochote alicho daiwa.
Kwamba awahishwe mbinguni..?Kwa wakili utapoteza ela yako, wasumbufu kama hao ni kuwapeleka kwao, ili akili zikae sawa. Nakwambia meneja wa tawi akipigiwa simu moja tu. Kila kitu kinaishia hapo. 😂 🤣 😇
SAWA.''Personal feelings" haziepukiki, labda uwe 'robot'. Wewe mwenyewe hapa unazionyesha hisia zako tayari!Wewe ndo mjuaji sasa, Hakuna wakili anakupa demand notice ya siku 21, kisheria ni siku 90. Na Takukuru anaenda kudai kwamba anatengenezewa mazingira ya rushwa kabla hajachukua hatua zaidi. Kama mkopo kamaliza, kwanini wanamcheleweshea hati yake..?
Unaleta personal feelings kwenye kazi ambazo tunazifanya kila siku na watu wanasaidika. Hii njia ya wakili kuna gharama ndo maana tunamshauri apite PCCB kwanza then baada ya hapo kuna hatua za kufuata kama kuiandikia BOT au kwenda moja kwa moja mahakamani. Hii ya kupitia BOT ina pro na cons zake ambazo sina tu muda wa kuanza kukuelezea hapa.
Kwa mjibu wa mleta mada ni kuwa Mama kila akienda benki anaambiwa arudi nyumbani watampigia simu.NMB wenyewe wanasemaje?
Kama hakuchukua hati, basi kuna mtu ndani ya Benki kaikopea hiyo hati!Aende takukuru, maana hapo wanaonekana wanatengeneza mazingira ambayo si sawa.
Mlengo wa criminality ni hoja tosha kufungua jalada. Takukuru hawana shida (urasimu), punguza kuskiliza maoni ya vijiweni. Najaribu kumpa njia fupi sababu case za breach of contract mahakamani zina time limitation ambayo ni 6 years, hapo tayari kashafikisha 5 years hapewi hati yake. Ukiangalia vizuri kwa macho makali utaona nini kinatafutwa na hao ma afisa wa benki, washaona mama hana anachokijua kuhusu sheria.SAWA.
Lakini hii yako pia (TAKUKURU) unajuwa kuna urasimu vilevile, na fursa ya kupigwa zaidi. Mama hana anachojuwa. Takukuru wenyewe nao wataanza kutafuta fursa iliyowaijia kupiga pesa.
Unasema aende Takukuru; lakini hadi hapo haijaelezwa kama huyo mama ameombwa na maofisa wa BENKI KUTOA CHOCHOTE. Sasa kwa nini aende Takukuru? Kwa dhana tu kwamba kuna mazingira yanatengenezwa?
Ya wakili, huyo uliyemjibu, labda ni hiyo siku 21, uliyomsahihisha, lakini inaonekana ni njia sahihi kabisa kwa huyo mama.
Malipo ya wakili yatatokana na madai yatakayodaiwa kufidia usumbufu kwa huyo mama.
Ushawahi ku deal na wakili kwenye case..? Au ni presumptions unafanya..?SAWA.
Lakini hii yako pia (TAKUKURU) unajuwa kuna urasimu vilevile, na fursa ya kupigwa zaidi. Mama hana anachojuwa. Takukuru wenyewe nao wataanza kutafuta fursa iliyowaijia kupiga pesa.
Unasema aende Takukuru; lakini hadi hapo haijaelezwa kama huyo mama ameombwa na maofisa wa BENKI KUTOA CHOCHOTE. Sasa kwa nini aende Takukuru? Kwa dhana tu kwamba kuna mazingira yanatengenezwa?
Ya wakili, huyo uliyemjibu, labda ni hiyo siku 21, uliyomsahihisha, lakini inaonekana ni njia sahihi kabisa kwa huyo mama.
Malipo ya wakili yatatokana na madai yatakayodaiwa kufidia usumbufu kwa huyo mama.
Acha kuendelea ku-comment ili kuthibitisha kwamba wewe ni mjinga mkuu.Wewe ndo mjuaji sasa, Hakuna wakili anakupa demand notice ya siku 21, kisheria ni siku 90. Na Takukuru anaenda kudai kwamba anatengenezewa mazingira ya rushwa kabla hajachukua hatua zaidi. Kama mkopo kamaliza, kwanini wanamcheleweshea hati yake..?
Unaleta personal feelings kwenye kazi ambazo tunazifanya kila siku na watu wanasaidika. Hii njia ya wakili kuna gharama ndo maana tunamshauri apite PCCB kwanza then baada ya hapo kuna hatua za kufuata kama kuiandikia BOT au kwenda moja kwa moja mahakamani. Hii ya kupitia BOT ina pro na cons zake ambazo sina tu muda wa kuanza kukuelezea hapa.
Wewe huna akili, i am done with you. Ujuaji mwingi, maneno machafu na huna unachokijua.Acha kuendelea ku-comment ili kuthibitisha kwamba wewe ni mjinga mkuu.
Demand notice ya siku 90 ni kama unataka kuishtaki Local au Central government. Siku 90 ni compulsory.
Demand notice kwenye MADAI mengine ya kawaida ni sisi Mawakili tunatumia busara kulingana na uzito wa MADAI yenyewe. Kama unamdai mtu billion Moja huwezi kumpa mdeni wako siku 21 kwasababu kiasi cha fedha ni kikubwa, so common sense ina-suggest umpe siku nyingi zaidi.
Hizi ni taaluma za watu acheni ujuaji na ukapuku, mnapotosha watu. Rubbish!!
Mbona wewe mtu ni 'judgemental' sana? Umejuaje nasikiliza mambo vijiweni.Mlengo wa criminality ni hoja tosha kufungua jalada. Takukuru hawana shida (urasimu), punguza kuskiliza maoni ya vijiweni. Najaribu kumpa njia fupi sababu case za breach of contract mahakamani zina time limitation ambayo ni 6 years, hapo tayari kashafikisha 5 years hapewi hati yake. Ukiangalia vizuri kwa macho makali utaona nini kinatafutwa na hao ma afisa wa benki, washaona mama hana anachokijua kuhusu sheria.
Karibu nikuhudumie mkuu.Boss naomba utupe msaada wa kisheria inaonekana unaexperience na haya masuala
hata kama ni 'presumption', kwani mawakili siku zote hawahusiki na maswala ya kesi?Ushawahi ku deal na wakili kwenye case..? Au ni presumptions unafanya..?
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe huna akili, i am done with you. Ujuaji mwingi, maneno machafu na huna unachokijua.