Acha kuongea siasa, Kema hela zako zinaibiwaga na ushahid unao nenda mahakamani kadai compensations otherwise ni porojo tu za vijiweni.Hiyo ndotabia Yao km ni kautaratibu na wanajua watu wengi hawafatilii haya mambo ukiwabana kene statement wanakaujanja kao Fulani huko watachomoka sema wamekupiga pesa nyingi so omba statement ili uanzie hapo kujua nn kinaendelea.