NMB wamenifanyia uhuni; wamechukua hela yangu

NMB wamenifanyia uhuni; wamechukua hela yangu

Kama ulitoa pesa kwa wakala itakuwa ilitoka mara mbili, wapigie au Rudi kwa wakala
Shukrani mkuu ulikuwa sahihi


 
Mwongo wewe
 
Jitoe na huduma ya spend to save kupitia Atm yeyote iliyo karibu nawe
 
Itakua ashapata jibu zilipoenda izo ela
 
Nenda kaombe bank statement utakuwa ilipoenda mkuu
 
Aisee pole
 
Mkuu punguza jazba,Kwa msaada umepewa kabisa namba halafu unalalamika,ungekuwa umepiga hujasaidiwa sawa......ila kwasasa unaonyesha mapungufu yako
 
Back
Top Bottom