Acha kuongea siasa, Kema hela zako zinaibiwaga na ushahid unao nenda mahakamani kadai compensations otherwise ni porojo tu za vijiweni.Hiyo ndotabia Yao km ni kautaratibu na wanajua watu wengi hawafatilii haya mambo ukiwabana kene statement wanakaujanja kao Fulani huko watachomoka sema wamekupiga pesa nyingi so omba statement ili uanzie hapo kujua nn kinaendelea.
😬😬😬😬Isije ikawa uliingiza hela nyingine kwenye yale ma 'vibes' yako na watoto wakali Club, halafu ukasahau kuiweka kwenye hesabu! Maana kuna wakati huwa wanakuvuruga kweli kweli!Nilikuwa na million na kitu
Salio la account yako inayoishia na 9740 ni TZS 1,198,940 tarehe 2022/01/22 17:01:38. Kwa msaada, tupigie BURE 0800 002002. Kumb EC101201775871
Nikatoa laki nne TU nikitegemea itabaki laki Saba na kitu.leo nacheki salio nakuta pesa ndogo
Salio la account yako inayoishia na 9740 ni TZS 485,540 tarehe 2022/01/24 18:31:53. Kwa msaada, tupigie BURE 0800 002002. Kumb EC101205397096
Sasa sijaelewa Nini kimetokea msaada tafadhali nifanyeje.
Wacha kuchafua taasisi za watu bhana! Ndiyo tabia yao katika nini? Huo ushauri wa kwenda ku print bank statement, ndiyo suluhisho pekee. Kila kitu kitaonekana humo.Hiyo ndotabia Yao km ni kautaratibu na wanajua watu wengi hawafatilii haya mambo ukiwabana kene statement wanakaujanja kao Fulani huko watachomoka sema wamekupiga pesa nyingi so omba statement ili uanzie hapo kujua nn kinaendelea.
Watu huwa wanafundishanaga sana ujinga wa vijiweni, kuna mzee namjua aliibiwa kwenye akaunti yake zaidi ya 30M ambazo zilikuwa zinatolewaga kidogo kidogo kupitia ATM na mobile money transfers na kuanza kutuhumu bank wezi. Mzee kucharuka ikabidi ashauriwe na watu kwenda bank na polisi kulalamika, polisi walivyoanza uchunguzi bank wakaleta picha za utoaji pesa kwenye ATM, kuangalia kwenye picha za camera kumbe mwanaye 🤣 🤣 .Akaona isiwe ishu ikabid aachane na kesi kimyakimya na msamaha juuWacha kuchafua taasisi za watu bhana! Ndiyo tabia yao katika nini? Huo ushauri wa kwenda ku print bank statement, ndiyo suluhisho pekee. Kila kitu kitaonekana humo.
Hakuna pesa inayokatwa na bank halafu isiwe na sababu. Yaani ipotee tu from nowhere! Hilo halipo.
Tumefahamu kwamba Mkuu alikuwa na Milioni Moja na Usher....!Mkuu punguza jazba,Kwa msaada umepewa kabisa namba halafu unalalamika,ungekuwa umepiga hujasaidiwa sawa......ila kwasasa unaonyesha mapungufu yako
😂😂😂😂😂😂Ndege John nimekuona kwenye sredi ingine unatukana tukana tu.
Ni dhahir umelewa.
Hebu kalale kesho fatilia transactions zote ulizofanya hasa kama umekaa na watoto wazuri wenye phone covers za tupaka na tundala twenye manyoa na tubegi mgongoni.
Utajua hujui🤣🤣
Ndege John nimekuona kwenye sredi ingine unatukana tukana tu.
Ni dhahir umelewa.
Hebu kalale kesho fatilia transactions zote ulizofanya hasa kama umekaa na watoto wazuri wenye phone covers za tupaka na tundala twenye manyoa na tubegi mgongoni.
Utajua hujui[emoji1787][emoji1787]
Mkuu usicheke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cheka tu mwenzio muda huu yupo kwenye foleni ya benki.[emoji1787]
Et covers za tupaka na tundala twenye manyoa na tubegi mgongoni. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu usicheke.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960]
Mm nikikutana nao wasichana Wa hivyo napita mbali Sana, visumbufu balaaEt covers za tupaka na tundala twenye manyoa na tubegi mgongoni. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makato yao ya service charge na kila kity
Hata vibubu ni bank zisizo na kwere[emoji23][emoji23]mammamamaeee
Hata vibubu ni bank zisizo na kwere
Mwongo weweKama una mkopo au umemdhamini mtu wamechukua chao, jipange upya
Sasa utakula mawe?Yaani niwe na 1M kwenye akaunti niitoe? Ah wee