Hii itakuwa umemuendekeza mwenyewe.kuna katoto kakaangu kufika home tu kanyakua simu yangu,akuna cha salamu wala nini.
uko sahihi kabisa,kuna mambo sio ya kuendekeza ni kuharibu watoto wakiwa wadogo na kuvuruga future yao.Hii itakuwa umemuendekeza mwenyewe.
Mimi simu yangu watoto hawashiki hata siku moja. Wanajua kabisa ni marufuku...na haina game yoyote.
Kwenye heading waombe Mods wafanye editing. No Body isomeke NobodyKatika hii generation, ambayo watu wapo bize mitandaoni tume loose touch na human connection. Hakuna health relationship na watu wa karibu.
Watu tumegeuka maroboti na mazombie. Hatuna mawazo chanya. Kutwa kuilaumu serikali, maisha magumu, sijui mmomonyoko wa maadili, kumbe wachawi ni sisi wenyewe.
Upweke umekithiri kwasababu, tumeruhusu Technology iweze kureplace maisha halisi. Tunajenga mahusiano na watu artificial mitandaoni, kujilinganisha na watu wasio level zetu. Hii imesababisha tuhisi kama hatuna thamani endapo tutashindwa kufikia level za hao waliopo Mitandaoni.
Sipo hapa kukosoa watu, bali kama tujuavyo vijana ndo nguzo ya taifa na kusema kweli kama kijana naona kabisa tuendako si pazuri
Jitahidi kupunguza screen time! Futa apps kwenye simu zisizo na manufaa. Jaribu hata kwenda matembezi kila siku bila simu, utanishukuru baadae.I agree on everything you say maana mm ni muhanga screen, social gathering kwangu imekua nadra sana.
Hata kama inaeleweka lakini be smartSawasawa, ni typing error! ila mbona inaeleweka mkuu...
wengine pole utaikuta status, na hata huko msibani hatuji😞🥲🥲Yan hata misibani kila mtu busy na simu Mfiwa hafarijiwi tena kama zamani..... Atajijua mwenyeweeee
Huzuni kuuu
Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stressHii mindset mkuu ndo ambayo watu wengi tumejiwekea, na ni kweli lazima tukubaliane na hali, ila isiwe kigezo cha kushindwa kubadilisha mambo. Mambo si mpka yabadilishwe na watu wengi, inaanza na mtu mmja. Wewe Leo ukianza kubadilisha lifestyle yako na kuhakikishia asilimia 80 ya wanaokuzunguka wataanza kubadilika. Trust me we can change.
Exactly wewe ndio type ya watu ili andiko lina wahusu. Ulimwenguni hapa sisi kama wanadamu tunajukumu la kujenga mifumo itayofanya maisha yawe salama kwa kila mtu. Hii tabia ya kusema "there's nothing we can do about it" ni tabia ya wavivu na watu irresponsible.
Take action, work with others , you are not alone.
Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stress
Kuna muda nakaa nafikiria hivi chanzo cha haya maovu yote ni nini na nini kifanyike ili dunia ibadilike kusiwe na maovu, lakini unakutana na watu ambao hawana mpango wala dalili ya kubadilika whether uwashauri, au ufanye mwenyewe haisaidii wao hayo ndio maisha waliyoyachagua
Unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo pesa na mali ndio kila kitu haijalishi umevipataje, mtu akitenda mema anaonekana mjinga na akitenda mabaya anaonekana mjanja unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo ngono ni kama chakula, watu wanazini tu hawajali kuhusu ndoa mtu akitunza bikira hadi ukubwani anaonekana mpumbavu
Upo sahihi sana mkuu, mm mwenyew huwa na fadhaika sana kuona jinsi generation yetu inapoelekea... ni dhahiri kua hatuwezi badilisha chochote, ila kama m nilivyo sema "nobody cares" so ni personal change ndo inayohitajika. Hii ina manufaa japo yanaweza yasionekane collectively. Imefikia pahala I don’t care too inabidi kuacha kuangalia kinacho endelea na kufocus kwenye reality ambayo mm mwenyew nataka niwe. This world is heartless 💔Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stress
Kuna muda nakaa nafikiria hivi chanzo cha haya maovu yote ni nini na nini kifanyike ili dunia ibadilike kusiwe na maovu, lakini unakutana na watu ambao hawana mpango wala dalili ya kubadilika whether uwashauri, au ufanye mwenyewe haisaidii wao hayo ndio maisha waliyoyachagua
Unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo pesa na mali ndio kila kitu haijalishi umevipataje, mtu akitenda mema anaonekana mjinga na akitenda mabaya anaonekana mjanja unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo ngono ni kama chakula, watu wanazini tu hawajali kuhusu ndoa mtu akitunza bikira hadi ukubwani anaonekana mpumbavu
Umezungumza vizuri hayo ulotaja si mageni na yamekuwepo miaka nenda rudi huenda yameshamiri sababu ya kukua kwa tech. n.kNi kweli lakini unachuja yale madhaifu yaliyokuwepo 1990's i.e. unaboresha hali na unajitahidi kuendeleza mazuri unayojifunza ya 2024 na kuepuka upotofu wa 2024 yan hukumbatii kila unalokutana nalo 2024 simply kwa kuwa eti huwezi rudisha nyakati nyuma, hizi ndoo zama tunazoishi. Kama ingekuwa hivo, basi tusingelipigia kelele ushoga, tusingeliwapigia kelele vijana kwa mtindo wa maisha wanayoenda nayo e.g.uvivu, kubwia unga, kushinda kutwa vijiweni n.k.
Pole sana, hii imetukumba wengi sana! Naweza kurelate na ww kuhusu kujitenga na kutengwa! Ina madhara mengi hasa psychological. Na tatizo la mitandao watu hawana sympathy hata kidogo na pia hawakujui hivyo hata ile kujali kua huyu ni mtu kama mm na anahisia kama mm inakua ngumu. Mm nahisi kwasabau ya kutengwa na kujiona wapweke imetusababisha wengi kuwa wahanga.Mleta mada asante kwa mada hii, ni kama vile umenizungumzia mimi!
Uhalisia wangu si mtu wa kujichanganya na watu tokea udogo wangu, ni mtu mwenye udhaifu wa uoga na aibu na ukimya, tokea darasa la chekechea nimekuwa wakujitenga na wenzangu na kutengwa pia.
Nilianza kuwa na sim yenye internet kati ya 2010, ilipofika 2012 niliijua jf na kujinga kuwa mwanachama mtumiaji wa jf kila siku kwa kusoma kutoa maoni na kutoa mada.
Ila nimekuwa disappointment kwa vile naona niko karibu na watu walionizidi sana!
Elimu yangu ni ndogo, uchumi wangu ni mdogo!
Ninakuwa mpweke sana na mnyonge sana lakini siachi kuwa Jf kila leo.
Kama nisingekuwa mfutiliaji wa Jf kwa kiasi hiki labda nisingejiona mnyonge na asiye na thamani kiasi hiki, hakika internet na mitandao wa kijamii vina athiri sana.
Yessss sureeeNingekanyoosha kanyooke nyoki, watoto tunawaharibu wenyewe wanakosea hatuwaelekezi kipi ni sahihi na kipi si sahihi. Wao kwa umri wao hawayatambui hayo na wa kufanya watambue hayo ni sisi wakubwa kwa kuwapa miongozo kimalezi tangu wakiwa wadogo, ni rahisi kuelekezeka kwa sasa kuliko wakikua.
Kuna wale wazazi wanawalea watoto kwa kuwaonea huruma wanashindwa hata kuwafokea, kuwaadhibu wanapokosea mwisho wa siku anakuwa na tabia za hovyo inakua mzigo hadi kwenye jamii.
Nawapenda sana watoto
NB: SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.
We do care, but those we care about, dont even care about themselves..Upo sahihi sana mkuu, mm mwenyew huwa na fadhaika sana kuona jinsi generation yetu inapoelekea... ni dhahiri kua hatuwezi badilisha chochote, ila kama m nilivyo sema "nobody cares" so ni personal change ndo inayohitajika. Hii ina manufaa japo yanaweza yasionekane collectively. Imefikia pahala I don’t care too inabidi kuacha kuangalia kinacho endelea na kufocus kwenye reality ambayo mm mwenyew nataka niwe. This world is heartless 💔
We can't change the world but we can make the world a better place.