“No hurry in Africa” Neno ambalo mara kadhaa limepotezea muda watu wengi sana

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Mtu kuchelewa ndege ni jambo la kawaida Afrika, kuchelewa kwenye Interview ni kitu cha kawaida, kuchelewa kazini pia.

Lakini pia kuchelewa kupata huduma muhimu pia ni jambo la kawaida.

Hili ni neno limewahi kukucheleweshea kitu gani cha msingi?
 
Tusipoteze muda wandugu. Hivyo nawakaribisha wale wateja wa mikopo kupata ushauri na usaidizi kabla ya kujongea kwenye taasisi za fedha
 
Kuna baadhi ya misamiati, misemo, nahua na hata vitendawili vinahitaji kupuuziwa na kufutwa. Mfano ni hii ya mtoa mada!
"Muda ni Kila kitu katika Maisha"
 
Kuna baadhi ya misamiati, misemo, nahua na hata vitendawili vinahitaji kupuuziwa na kufutwa. Mfano ni hii ya mtoa mada!
"Muda ni Kila kitu katika Maisha"
Lakini ni kweli 😅
 
The use of time will determine whether an individual succeeds or fails in life. This is why hard-work almost always trumps talent.

^A life spent making mistakes is not only more honorable, but more useful than a life spent doing nothing.^ ~George Benard Shaw
 

Life Begins at Forty ... ,mpaka 40 mtu yuko single 😀😀, kastaafu first born yuko standard 7 ,pension yote kasomeshea watoto sekondari.​

Life begins at 40 - maana yake, hadi kufikia umri huo uwe na funguo 3 (siku hizi zimefika 4, na nasikia wanafanya mchakato ziongezwe hadi 5 au 6):
1. Ufunguo wa nyumba
2. Ufunguo wa gari
3. Ufunguo wa ofisi yako
4. Ufunguo wa akiba ya baadaye (uzeeni na kuwarithisha wanaokutegemea)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…