Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Darasa la saba.We ni educated na career woman?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Darasa la saba.We ni educated na career woman?
Wapi?😁😁😁 Tukatembee basi
😁😁😁😁 hapo ina viwanja vyake vya kutua. haiwezi tua popote tuuAhaaa ndo Boeing 777 ulivyomaanisha?? Hapo sawa
Thubutu yakoSina mke ila Nina uwezo wa kumuoa Ndalichako na degree zake na haniambii kitu
mjini katiWapi?
U feminism huwa unaambatana na dharau ndani yake.. kwahiyo mwanaune ukikutana na Feminist lazima akupeleke mzobe mzobe.. mwendo wa pundaShida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...
View attachment 2460359
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.
View attachment 2460366
Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]
Labda ubahatishe sana!
Wewe kuwekwa chini na mwanamme labda kitandani tu ulivyo jeuri🤣Haya.
Hapo sawa... wewe unafaa sasaDarasa la saba.
Daaa❤❤❤❤❤Halafu upate form four mwalimu wa msingi. No makuu. No umalaya. Maadili Kama yote.
hupendi Kiki 😁😁 Pellaiah , PhDWacha bwana!!
Wacha we!!Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...
View attachment 2460359
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.
View attachment 2460366
Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]
Labda ubahatishe sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuu acha kusagia kunguni.Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...
View attachment 2460359
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.
View attachment 2460366
Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]
Labda ubahatishe sana!
Mie nipo huku kijijini nalima bwana.mjini kati
😂😂😂😂😂😂Wewe kuwekwa chini na mwanamme labda kitandani tu🤣
Wanawake wasomi wana matatizo sana mjukuu hasa hawa wanaojifanya eti wanaharakati uchwara wa usawa wa kijinsia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuu acha kusagia kunguni.
Sent using Jamii Forums mobile app