No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Ndo maana nikaweka point ya emotional intelligence...

Unajua asili ya wanaume sisi ni watu wa kuwasha moto.. yaani mwanamke hawezi kukukoromea na wewe ukaufyata, lazima uwashe moto na wewe...

Sasa inawezekana huyu jamaa yeye ikitokea amewashiwa moto, yeye huwa hawashi, kwahiyo hapo lazima kuwe na amani... ndo mana wanadumu
Kua emotionally intelligent nikua na tabia au sifa zipi mkuu.
 
Ndo maana nikaweka point ya emotional intelligence...

Unajua asili ya wanaume sisi ni watu wa kuwasha moto.. yaani mwanamke hawezi kukukoromea na wewe ukaufyata, lazima uwashe moto na wewe...

Sasa inawezekana huyu jamaa yeye ikitokea amewashiwa moto, yeye huwa hawashi, kwahiyo hapo lazima kuwe na amani... ndo mana wanadumu
Na kitu kingine basi moto hauwashi Na hapeleki moto pia mwanamke hauwezi kuwa na kauli ya mamlaka juu yake kama huwez mmiliki na kumpelekea moto vizur sasa vyote huna unasubiria nn kama sio kufa kwa dharau
 
Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.

Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.

Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri

Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.

Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.

Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.

Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...

Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
Ni kweli kabisa. Ila ukioa wanawake waliosoma na carrier ladies waliolelewa kwenye misingi dhatiti ya dini na wanajielewa pia hujapotea ndugu.
Dini yasaidia ndoa kuwa ikawa chief
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Bado hujakutana na wanawake vichwa maji so tulia tu mkuu
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Ujajua wewe, watu wanacool down kuepusha mengi. Ukileta ujuaji wako huo mwezi mmoja baada ya honeymoon ndoa inavunjika. Hujawajua hawa watu.
 
Ukishasema misimamo ya ki uanaume, halafu ukasema wanaume wa siku hizi wanataka wanawake wa kuwakandamiza. Ni wazi hujui unachokiongea. Labda Kama humjui mwanaume mwenye misimamo
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimweng
Kwakweli 😂😂 oa mtu anaekupenda and mkapendana mambo ya madigris,sijui la saba, sijui ni uoga huo

😃😃 ndo maana mimi huwa najisemea ikitokea meolewa basi atleast nioleww na mtu alienizidi ila sio niliemzidi mimi maana ukimzidi kitu tu anakua hajiamini na mwisho kabisa ni maugomvi tu 😁😁😁😁

By the way sio mbaya kwa mawazo ya mtoa mada huyu ni wale type wanapenda kunyenyekewa hata kwa mambo yasio ya msingi.
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Unataka kumwaminisha nani kuwa wewe mbabe mbele ya mke wako huku hatukufaham??
 
Kwahio mkuu u wanna say wasomi ndo wenye ego,dharau na maneno mengi 😃😃😃 yaan mtu akiwa vidigrii tu nasi ndo sifa za ufeminist anakua nazo it can't be,

Hii theory yako ina apply to both side o to other language any kind of a woman can have those character bila kuangalia levo ya elimu yake.

So kazi n kwako kuchagua yupi ni wise kulingana na ur criteria.

Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...na ni nadra kwake kujishusha.
View attachment 2460359

Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.

View attachment 2460366

Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]

Labda ubahatishe sana!
 
Back
Top Bottom