No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.

Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.

Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri

Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.

Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.

Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.

Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...

Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
Naunga Mkono hoja, baada ya Hilo la kielimu naongeza hili... Awe bikra...
Utakuja kunishukuru, yaani.....
 
😂😂😂😂 yaan watu wa humu kila siku wanaibuka na mapya inategemea na hali ya hewa
Nimebahatika sana.
Hakuna atakuona uko kwenye misutano wala nini😅
 
Degree na master siyo kitu mbele ya pesa. Kiburi cha mwanaume pesa. Kitu ambacho pesa haiwezi kufuta ni umalaya. Malaya hata umpe kila kitu atatembeza hilo shimo tu.

Mwanaume tafuta pesa, Oa mwanamke asiyeweza kumaliza pesa unazozitafuta, Omba usipate malaya. Problem solved.
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Kama wewe ni degree KE nakubaliana na mtoa mada
 
Mwanamke mwanaharakati simtaki hata urafiki wa kawaida nae sitaki, ila nimeoa mwanamke mwenye degree na ana kazi.

Kikubwa anafahamu msimamo wangu, akizingua sina discussion na ametulia tuli tuna watoto kadhaa na miaka kadhaa kwenye ndoa.

Wanaume wenzangu mkipenda uzungu mwingi na demokrasia ndoa na mwanamke msomi lazima iwe ngumu.

Kuna mambo huwa nafanya discussion na mke wangu ila kuna mengine huwa nampa kama maelekezo tu wala sihitaji discussion nikisha jiridhisha kikamilifu kwamba maamuzi yangu ni sahihi na huwa anafanya maana ananiamini kwamba siwezi kumuingiza chaka
 
Halafu upate form four mwalimu wa msingi. No makuu. No umalaya. Maadili Kama yote.
Akiwa mwalimu anakosa sifa za kuwa form four, hivyo naye HAFAI kuwa mke bora kwa vigezo vya mleta uzi
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Umeandika kwa hasira sana, mleta mada ana hoja yenye mashiko katika uhalisia wa maisha mtaani
 
Kwahio mkuu u wanna say wasomi ndo wenye ego,dharau na maneno mengi [emoji2][emoji2][emoji2] yaan mtu akiwa vidigrii tu nasi ndo sifa za ufeminist anakua nazo it can't be.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Ndiyo. WASOMI WENGI ndiyo wenye dharau, ego na u feminism uchwara!

Hii theory yako ina apply to both side o to other language any kind of a woman can have those character bila kuangalia levo ya elimu yake.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Hapana! Mtu wa darasa la 7 au fomu foo ufeminism ataujulia wapi? Kabisa aanze kupigania usawa wa kijinsia pasu 50/50. Sidhani! Kunaweza kuwa na vighairi (exceptions) vya hapa na pale lakini si sana

So kazi n kwako kuchagua yupi ni wise kulingana na ur criteria.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Been there done that - 4 times! At 76 yrs of age, I am done. Kazi ni kwa hawa madogo wa kizazi chenu hiki chenye changamoto lukuki. Mungu na Awasaidie [emoji1545]
 
Ndo maana nikaweka point ya emotional intelligence...

Unajua asili ya wanaume sisi ni watu wa kuwasha moto.. yaani mwanamke hawezi kukukoromea na wewe ukaufyata, lazima uwashe moto na wewe...

Sasa inawezekana huyu jamaa yeye ikitokea amewashiwa moto, yeye huwa hawashi, kwahiyo hapo lazima kuwe na amani... ndo mana wanadumu
Kuwasha moto kwa wanaume kumepungua sana siku hizi kwa sababu dini zimetupumbaza sana hasa dini yangu ya ukristo
 
Back
Top Bottom