No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Kwenda huko...utazidi kuzeekea hapo ngoja nibonge na dogo lako
Makiwendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwendaaaa huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora nizeeke kuliko furushi wewe.

Halafu Makiwendo ni dada yangu sio mdogo wangu. Kuwa na adabu.
Miss Renee yuko wapi siku hizi?
 
Kwendaaaa huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora nizeeke kuliko furushi wewe.

Halafu Makiwendo ni dada yangu sio mdogo wangu. Kuwa na adabu.
Miss Renee yuko wapi siku hizi?
Huyo Renee ameingiaje hapa?
Ndio maana Makiwendo ana akili kuliko wewe.
Najuta kukukaribisha kwangu umekoroma usiku kucha kama Fiat la magogo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo Renee ameingiaje hapa?
Ndio maana Makiwendo ana akili kuliko wewe.
Najuta kukukaribisha kwangu umekoroma usiku kucha kama Fiat la magogo🤣🤣🤣🤣🤣
Jibu kwanza swali, yuko wapi? Au ulishabwagwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Una kwako kwanzaa!! Mtoto mdogo bado unanyang'anyana remote na wadogo zako.
 
Kwakweli 😂😂 oa mtu anaekupenda and mkapendana mambo ya madigris,sijui la saba, sijui ni uoga huo

😃😃 ndo maana mimi huwa najisemea ikitokea meolewa basi atleast nioleww na mtu alienizidi ila sio niliemzidi mimi maana ukimzidi kitu tu anakua hajiamini na mwisho kabisa ni maugomvi tu 😁😁😁😁

By the way sio mbaya kwa mawazo ya mtoa mada huyu ni wale type wanapenda kunyenyekewa hata kwa mambo yasio ya msingi.
Wabheja sana !!
 
Back
Top Bottom