Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Shimba ya Buyenze bro usilete hii balaa nyumbani mimi imenishinda kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi nioe mimi, nakuahidi kuwa bonge la wife😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shimba ya Buyenze bro usilete hii balaa nyumbani mimi imenishinda kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi nioe mimi, nakuahidi kuwa bonge la wife😜
Na Ako 76[emoji38][emoji38][emoji38]Nitakuwa wa tano na wa mwisho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cc Shimba ya Buyenze
🤣🤣🤣🤣🤣Ohooo ningemiliki mtoto kama miss Renee ningehangaika na lishangazi kama wewe?🤣🤣🤣🤣
Kitambi nikitoe wapi 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ushabwagwa masikini, ningeshangaa kama ungedumu nae. Kitu pekee unaweza dumu nacho ni hicho kitambi tu🤣🤣🤣
Lete basi mipango ya sikukuu.
🤣🤣🤣🤣 We kimbinyiko mie ni bonge la wife material. Sema wewe furushi huwezi kuona.Mdogo wako kuolewa asahau labda tu aachane na ufeminist na aache kukoroma usiku kama anakufa🤣🤣🤣
Mwenyekiti naye tunamuweka ndani.Sina mke ila Nina uwezo wa kumuoa Ndalichako na degree zake na haniambii kitu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shimba ya Buyenze bro usilete hii balaa nyumbani mimi imenishinda kaka🤣
Sasa nioe mama yangu mdogo wa nini sasa?🤣🤣🤣🤣 We kimbinyiko mie ni bonge la wife material. Sema wewe furushi huwezi kuona.
Kamwe hutaniita shemeji labda usugue hiyo ngozi ya mamba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia shemeji.
YeahMwenyekiti naye tunamuweka ndani.
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
SalamalekoYeah
Angalau sasa kidooooogo akili zinaanza kukurudia.Sasa nioe mama yangu mdogo wa nini sasa?
Kuna watoto wabichi hata jua linaogopa kuwapiga sio wewe umekomaa mikono kama mamba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pensheni sijui itakuwepo bado!!!Na Ako 76[emoji38][emoji38][emoji38]
Una akili sana sio huyu kikongweWanaume wanapenda mwanamke asiwe mjuaji sana kuwazidi yani anajua vitu vingi kuliko wao mi ninaweza kua na boyfriend ninae mzidi ufaham mbali sana ila nikiwa nae najifanyaga sielewi vitu namuuliza maswali ata ambayo nayajua ananielezea pale na mi najifanya ndo nimejua baada ya yeye kuniambia basi anafurahi
Umalaya ni nini?Halafu upate form four mwalimu wa msingi. No makuu. No umalaya. Maadili Kama yote.
Kwenye mbege🤣🤣🤣Kitambi nikitoe wapi 😂😂😂😂
Tatizo hujatulia sijui ulivuka ujana?Angalau sasa kidooooogo akili zinaanza kukurudia.
Mie ni mama yako, kuwa na adabu.
Au Jennister Mhagama aone moto wakeNdalichako utamuonea,ngoja tukupe Dorothy Gwajima ukione cha Moto!!