No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Nasikia Mandela mwenyewe alimnunia demu wa kwanza kwa kujifanya mwanaharakati.
 
Misimamo kwenye ndoa unaiua ndoa.
Endelea na fikra zako za kimama nyie ndio wanaume msiohidhuria vikao alafu mnakuja kulia mtaani kwahyo unataka kusema mwanaume aendeshwe tu kama zuzu na watu wadhaifu acha ubwege msimamo kwenye ndoa lazima kama huwez endelea kuendeshwa.
Wanawake wenyewe wanapenda mtu mwenye sauti ilio na mamlaka mtu anaeweza kummiliki na kumfanya ajiskie yupo kwenye utawala fulani achanuzuzu boi
 
ukitaka kuoa nenda kijijini kwenu.utapata mke mzuri sanaa.hata akiwa amesoma.kwasababu mnajuana kwakila kitu.
 
Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...na ni nadra kwake kujishusha.
View attachment 2460359

Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.

View attachment 2460366

Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]

Labda ubahatishe sana!
Eeeh [emoji16][emoji16][emoji16] msukuma shikamoo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nna ndugu yangu kaishia la 7,ila mzururaji na mdangaji kama yeye sijaona,vigodoro vyote lazima audhurie hata wanae nilikua namlelea mana ye hana muda!
Nadhani ukitaka kuoa uombe Mungu akupe mke mwema mana mke mwema anatoka kwa Bwana,unaweza pata mwenye masters lakini akawa tulizo moyoni mwako,na unaweza kupata wa la 7 akawa kidonda rohoni!
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Kuna mambo yanaepukika mkuu, utachagua nani kati ya mtiifu na mwenye kiburi??
Au kisa ni mwanaume (kamili) utachagua yeyote kati yao coz unajitanabaisha kua unaweza kummudu!??
Mtatunishiana misuli mwisho muuane, hayo yote ya nini kujifanya shababi ilhali unaumia.

Kuna wanawake kuishi nao ni kazi sana, mwisho wa siku utajikuta unapoteza muda kuonyesha umwamba usio na msingi.
 
Mwanamke msomi anajiaminini sana kupita kiasi , kiasi kwamba anaweza jiona yeye ni mwanaume kamili, Kama unataka kujua hili wewe mwanaume somesha mchumba alafu amalize kusoma uje utupe mrejesho hapa
 
Kuna mambo yanaepukika mkuu, utachagua nani kati ya mtiifu na mwenye kiburi??
Au kisa ni mwanaume (kamili) utachagua yeyote kati yao coz unajitanabaisha kua unaweza kummudu!??
Mtatunishiana misuli mwisho muuane, hayo yote ya nini kujifanya shababi ilhali unaumia.

Kuna wanawake kuishi nao ni kazi sana, mwisho wa siku utajikuta unapoteza muda kuonyesha umwamba usio na msingi.
Wanaume kama nyie huku kwetu tunawatenga tunawalaza banda moja na mbuzi
 
Siyo kweli.

Kuna kanuni zake ukizizingatia 98% utapata mke mwema. Shida inakuja pale mtu ukipenda unaacha kuzifuata kanuni ulizojiwekea hata kama unaona red flags za wazi.
Hii umesema kweli kabisa. Only those who've been there will understand.
 
Mwanamke mwanaharakati simtaki hata urafiki wa kawaida nae sitaki, ila nimeoa mwanamke mwenye degree na ana kazi.

Kikubwa anafahamu msimamo wangu, akizingua sina discussion na ametulia tuli tuna watoto kadhaa na miaka kadhaa kwenye ndoa.

Wanaume wenzangu mkipenda uzungu mwingi na demokrasia ndoa na mwanamke msomi lazima iwe ngumu.

Kuna mambo huwa nafanya discussion na mke wangu ila kuna mengine huwa nampa kama maelekezo tu wala sihitaji discussion nikisha jiridhisha kikamilifu kwamba maamuzi yangu ni sahihi na huwa anafanya maana ananiamini kwamba siwezi kumuingiza chaka
Upo kama mm asee. Kuna mwanamke tulikua tumeanza kua marafiki. Ila nkaona mhhhhh hapa hapana yan mwanamke ana elimu ya form four ila ana ufeminist balaa.

Anakwambia mm bora mchumba wangu awe malaya ila asinifatilie fatilie mambo yangu. Nkamwangaliaaaaa nkajisemea ihiiiiiiii

Kwanza dem mwenyewe kila kona ana marafiki wa kiume kila tutapopita ana rafiki wa kiume, nkaona Mhhhhhh hapa hapana.

Ukimfatilia nyendo zake anakuita mkoloni nkaona ngoja nkae pembeni!!!!
 
Back
Top Bottom