JWANY DA KING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 201
- 184
Labda elcopter a.k.a chopa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Bombardier yenyewe haituwi kwenye kila kiwanja..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda elcopter a.k.a chopa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Bombardier yenyewe haituwi kwenye kila kiwanja..
Agiza kinywaji au supuUkiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaahGwajima cha mtoto. Tumpe kile chuma cha Mjerumani kimbaumbau mkangafu kutoka Green City tuone kama atatoboa [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah76 brooo???nikawa najua uko 40's jamaa,daahh watu mko smart sana ktk ulimwengu huu,hongera sanamkuu.
Mba mba mba ,Nye Nye Nye! hahaaaaMwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.
Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.
Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri
Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.
Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.
Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.
Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...
Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sina mke ila Nina uwezo wa kumuoa Ndalichako na degree zake na haniambii kitu
Hizi vitu ni kama Betting tu.Haya mambo hayana formula kuna jirani yangu hapa ni mwaka wa 7 huu kaoa mwanamke ana Phd yeye aliishia la 4 na sio kwamba ni very very wealth na huyu mama ni very respectful to her husband..
Kwani kwa dhaifu kama wewe inahitajika nguvu basi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa nguvu gani wewe za kunihemesha. Acha kukusanya point dogo.
Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...na ni nadra kwake kujishusha.
View attachment 2460359
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.
View attachment 2460366
Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema?![]()
![]()
![]()
Labda ubahatishe sana
Panya buku wewe.Kwani kwa dhaifu kama wewe inahitajika nguvu basi?
Maujanja tu mdogomdogo unachizika tu.
Ujanja wako ni mdomo mrefu kama wa panya buuku🤣🤣🤣🤣
Nakupenda bure feminist wangu🤣Panya buku wewe.
Wooooi!!Nakupenda bure feminist wangu[emoji1787]
Au unabisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuuu[emoji119]
Siyo kweli.Hizi vitu ni kama Betting tu.
Na wewe ni mwanaharakati eeeh!?Respect sawa ila sasa kwenye harakati[emoji3577]maswala ya kutulia ndani kma mwaliii
Sawa boeing 7777.....Boeing 777 haiwezi tua kwenye kila kiwanja..