Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina miaka 76. Nimeshaoa wanawake wanne maishani mwangu na kuacha. Najua ninachokisema!Wacha we!!
Aiseee!!Nina miaka 76. Nimeshaoa wanawake wanne maishani mwangu na kuacha. Najua ninachokisema!
Mke msomi feminist hutoboi hata ujitahidi vipi labda uamue tu kuishi kinyonge huku ukidharauliwa na kukoromewa kila siku!
Ndo hivyo Prof [emoji1545]Aiseee!!
Basi sawa.
Ndalichako utamuonea,ngoja tukupe Dorothy Gwajima ukione cha Moto!!Sina mke ila Nina uwezo wa kumuoa Ndalichako na degree zake na haniambii kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa babuuuh na mjukuu mkweo anasoma hapa, nisipofanya hvyo c ntaachika eti.Wanawake wasomi wana matatizo sana mjukuu hasa hawa wanaojifanya eti wanaharakati uchwara wa usawa wa kijinsia.
Siku ukiolewa mjukuu weka digrii yako ya uhandisi pembeni na jitahidi sana kwa mumeo uwe mke na uujue vyema wajibu wako siyo tu kitandani na jikoni bali nafasi ya mumeo katika maisha yako. Utakula mema ya nchi mpaka ushangae!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina miaka 76. Nimeshaoa wanawake wanne maishani mwangu na kuacha. Najua ninachokisema!
Mke msomi feminist hutoboi hata ujitahidi vipi labda uamue tu kuishi kinyonge huku ukidharauliwa na kukoromewa kila siku!
Yaani hapo mwanaume uwe kama matekaNina miaka 76. Nimeshaoa wanawake wanne maishani mwangu na kuacha. Najua ninachokisema!
Mke msomi feminist hutoboi hata ujitahidi vipi labda uamue tu kuishi kinyonge huku ukidharauliwa na kukoromewa kila siku!
Gwajima cha mtoto. Tumpe kile chuma cha Mjerumani kimbaumbau mkangafu kutoka Green City tuone kama atatoboa [emoji16][emoji16][emoji16]Ndalichako utamuonea,ngoja tukupe Dorothy Gwajima ukione cha Moto!!
Ukweli mtupu..sijaoa bado ila nina washkaji wengi waliooa..wenye wake wasomi nawaona sana jinsi wanavyopelekeshwa..wameoa lakini wako lonely.. ila ma nigga walijichukulia form 4 au la sana,nawaona sana wanavyotanuaMwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.
Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.
Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri
Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.
Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.
Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.
Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...
Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
PhD holder, tayar umetukukimbiza mbio nyingi sana ...😂😂😂😂😂
Huyo mdhambi namna pekee tunaweza kuwa chumba kimoja ni kwenye chumba cha mtihani tu.
Usiku mwema.
Hicho ni kighairi (an exception). Vipo kila mahali. Havikubaliani na data. Na kwa vile huwa ni vichache, athari zake ni insignificant na hivyo huwa haviathiri matokeo ya utafiti.Haya mambo hayana formula kuna jirani yangu hapa ni mwaka wa 7 huu kaoa mwanamke ana Phd yeye aliishia la 4 na sio kwamba ni very very wealth na huyu mama ni very respectful to her husband..
Ndo maana nikaweka point ya emotional intelligence...Haya mambo hayana formula kuna jirani yangu hapa ni mwaka wa 7 huu kaoa mwanamke ana Phd yeye aliishia la 4 na sio kwamba ni very very wealth na huyu mama ni very respectful to her husband..
Mpo included hapo kwenye lasabaDarasa la 4 B mmetusahau 😥😥😥😥😥
Umeoa msomi mkuu?.Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Una hoja mkuu. Wanawake wasomi wenye kumcha Mungu huwa wapo vizuri sana. Ila ukutane na msomi halafu mpagani hakuna rangi utaacha kuona. Hata biblia inasema katika Mithali 25:24 "Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi".Hawa viumbe wengi wao hawana stamina ya ku handle mafanikio, wengi huishia kuwa na viburi na dharau kama dunia yote yao. Mungu awasaidie tu.Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.
Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.
Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri
Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.
Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.
Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.
Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...
Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo