No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

U feminism huwa unaambatana na dharau ndani yake.. kwahiyo mwanaune ukikutana na Feminist lazima akupeleke mzobe mzobe.. mwendo wa punda
 
Wacha we!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuu acha kusagia kunguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuu acha kusagia kunguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wasomi wana matatizo sana mjukuu hasa hawa wanaojifanya eti wanaharakati uchwara wa usawa wa kijinsia.

Siku ukiolewa mjukuu weka digrii yako ya uhandisi pembeni na jitahidi sana kwa mumeo uwe mke na uujue vyema wajibu wako siyo tu kitandani na jikoni bali pia nafasi ya mumeo katika maisha yako. Utakula mema ya nchi mpaka ushangae!
 
Sawa ;

Associate Professor Pellaiah , PhD.

Uwe na usiku mwema, naona umeisha kutana na mdhambi mwenzako Glenn Nahisi mpo chumba kimoja 😁😁😁 haiwezekani muibuke hapa pamoja
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo mdhambi namna pekee tunaweza kuwa chumba kimoja ni kwenye chumba cha mtihani tu.

Usiku mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…