Hatuwezi kupata katiba mpya before 2025, ila huyu mama lazima ataleta katiba mpya kabla hajaondoka madarakani, huyu mama ana exposure kubwa, ni mwelewa na ni mpenda sifa. Mchakato unaweza kuanza mwaka 2025 na kumalizika 2026. Sasa hv wacha apambane na kupanda kwa maisha ya wananchi,It’s far fetched! Amefanya nini so far to deserve such an international recognition? Pengine sana sana Mo Ibrahim prize if she manages to get a new constitution before 2925!
Lakini akimsikiliza Kikwete na genge lake kuwa afanye Janja Janja mpaka apate Urais ndio alete Katiba mpya hata hiyo ya Mo Ibrahim ataikosa!
Nchi ngumu hii!!Tatizo ni kwamba JPM na Samia ni kama na giza na mwanga, hivyo tofauti yao inaonekana haraka zaidi kwa wengi,
Sasa hiv nchi imetulia tuliiii kiasi kwamba hata panya akipita huko nje ni rahisi kusikia nyao zake
Hatuwezi kupata kwasababu ya watu anaowasikiliza kwani kuchelewa kwa katiba ndio neema yao!! Lakini ningemshauri atupatie katiba kutoka rasimu ya Warioba ili iwe vigumu kumpinga 2025!Hatuwezi kupata katiba mpya before 2025, ila huyu mama lazima ataleta katiba mpya kabla hajaondoka madarakani, huyu mama ana exposure kubwa, ni mwelewa na ni mpenda sifa. Mchakato unaweza kuanza mwaka 2025 na kumalizika 2026. Sasa hv wacha apambane na kupanda kwa maisha ya wananchi,
Hii naipenda sana.Labda noble prize ya kuhamasisha ufisadi katika Taifa🐒🐒🐒
View attachment 2159360
Wampe tu ila nashangaaRais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.
Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na Tanzania.
Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.
Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.
Aifikishe Tanzania mahali ambapo Watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.
Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.
Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla Watanzania wote kupatiwa maji safi.
Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
Hakuna viroba vyenye watu vinavyoelea huko kwenye fukwe zetu, hili ni jambo kubwa sana kwa dunia, kudai kuwa Tanzania hakuna COVID-19 ni jambo kubwa sana na hatari kwa dunia , mtu kupigwa risasi nyingi na kwenda kuponea hili nalo ni jambo la kidunia, kufungilia vyama vya siasa na habari kufanya kazi zao hili nalo sio jambo dogo kidunia. Yaani lazima wampe TU zawadi mojawapo au zoteNchi ngumu hii!!
Upo sahihi, mambo mengi Africa yanajilinda yenyewe, hata hii mipaka yetu ya nchi za Africa inajilinda yenyewe kwa asilimia kubwa.Huu muungano hayuko wa kuuvunja, unajilinda wenyewe. Anaetaka kuuvunja atavunjwa kabla hajauvunja.
Siku akiipata nitahamia Somalia!Rais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.
Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na Tanzania.
Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.
Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.
Aifikishe Tanzania mahali ambapo Watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.
Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.
Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla Watanzania wote kupatiwa maji safi.
Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
Unafikri hizo tuzo ni za kuamka tu nakupewa. Angalia waliwahi kupata wanasifa zipi katika mataifa yao kwanzaRais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.
Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na Tanzania.
Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.
Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.
Aifikishe Tanzania mahali ambapo Watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.
Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.
Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla Watanzania wote kupatiwa maji safi.
Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
Kwa hiyo kukubali kuhojiwa ndio kigezo, tatizo la shule za kataNikumbushe Rais wa Afrika anaekubali ahojiwe na waandishi wa habari