Sometimes we say This is very interesting story. Just imagine What is Norway before Israel? What is benefits for Israel Leaders to visit Norway? Wajafanye nini ? Kwa lipi?
Huo ni Mtego wa kutaka kushawishi nchi zingine nazo zijiingize Kwenye hicho kitanzi
Subiri Adhabu ipo njiani chap
Iran ashaanza Adhabu yake mengine yanakuja Mashabiki msiache kupiga makofi pia Kibao kikiendelea kugeuka
Ndio Mtaelewa maana ya Agano na Mungu.
Mbona unaongea nadharia mfu!?
Umeifuatilia Norway katika mchango wa EU na world geopolitics!?
Watu walisema vivyo hivyo Brazil ni nani kwani akivunja uhusiano na Israel kitatokea nini,mwishowe Brazil akawa kichocheo cha Spain na mataifa mengine kwenda kombo na Israel.
Embu kaitizame Norway ina influence gani.
Watu wanalinda hadhi ya hivyo vyombo vya kimataifa kama ulikua hujui.
UN ilionekana chombo butu kwa kushidwa kumuwajibisha Israel na ICJ itaonekana chombo butu pia ikishindwa kufanya hivyo na mataifa ya ulaya hayataonekana kuwa mataifa kipaumbele katika utetezi kama yatashindwa kumuwajibisha Israel.
Huwenda hujui how geopolitics work.
Spain,Belgium,Brazil n.k n.k yote hayo yalishaonesha ukinzani na Israel toka October kwa mashambulizi ya Gaza,jiulize kwanini.
Kitendo cha USA na UK kuikumbatia na kuficha ujinga wa Israel ulileta mtafaruku wa kiutawala nje na ndani ya mipaka yao.
Raia wa Uingereza waliandamana wakimsema na kumdhihaki Rishi Sunak kwa kuegemea upande wa Israel.
Kiufupi US na UK washapoteza world influence,je unataka na mataifa mengine yapoteze pia!!??