Wakuu,Inahitajika noti ya miatano ya zamani kama inavyoonekana kwenye picha hizi[emoji116]
Contact:0613063581
Location: Morogoro.
Offer: 120,000/=
Note:Mimi dalali tu,boss amesema hata ikiwa zaidi ya moja ananunua.
UPDATES;Wakuu,siwezi post JF kitu ambacho sjakihakiki,otherwise mwenye kudai ana noti awe ndo tapeli au boss wangu awe ndo anatapeliwa na waliomtuma, mimi niko makini sana.
Kuhusu wale wanaodai mambo ya kishirikina,Iko hivi kwenye mauzianio hakutakuwepo na sharti tata ,mfano wa sharti tata ni kama bei kuwa kiasi fulan bila kuongezeka wala kupungua na jingine ni kama malipo kuwa cash kwa cash.
View attachment 2624969View attachment 2624971