Pesa za umma zinafanyiwa misappropriation.Kwa hyo tuseme TANZANIA [emoji1241] KUNA PESA NYINGI TU DU HIVYO KUMBE MAAANA WATU WANACHOTA MAPESA NA BADO YAPO
Single Source Procurement (SSP) methodKapatikanaje?
Ulitaka kushindana nae kwa njia ya mnada?Achilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
Mwarabu[emoji4]Ni jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.
Uko sahihi.Kuna yule Azimio aliingia ubia na NSSF na kuithaminisha ardhi iliyotumika kwa bei ya kuruka mpaka akaingia kwenye ripoti za CAG, wamemalizanaje? Maana hisa zake zilikuwa 55%
Salio lako jipya ni TSh 112. Umepokea TSh 4 kutoka kwa TIGO GAWIO, Kumbukumbu No.: 13760462126. 25/09/23 00:06. Tigo Pesa ni zaidi ya Pesa!🥱🥱🥱Hatari thana...
AIP01SBV0DQ Imethibitishwa.Umepokea Tsh50.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 25/9/23 saa 12:39 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh70.30.
kwa nini wewe usingekwenda kuzinunua? Zimekuwepo kwenye mnada kwa kipindi kirefu tu.Atakuwa kauziwa muarabu
Tenda ya manunuzi itatangazwa baadae. Siku hizi tunapata kwanza mwekezaji halafu ndiyo tunatangaza tenda.Kapatikanaje?
Atakua mwarabu,naona hawataki makelele ya Wala Bure wenye kinyaa na waarabu kule madhabahuniNi jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.
Hizo ni computer generated picturesFaida tupu wallah.. Jamaa wanakuja kufanya finishing tuuView attachment 2761852View attachment 2761853
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee !!Tenda ya manunuzi itatangazwa baadae. Siku hizi tunapata kwanza mwekezaji halafu ndiyo tunatangaza tenda.
Nabado hasara ya Bil330 kukaa kwa miaka 8 bila kuwa kwenye mzunguko.Jinga kabisa 330B ya mwaka 2015 na 501B faida unaipata wapi? thamani ya shilingi inafanana?
JPM alibugi pale kuzuia uendelezwaji wakeMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Watanufaika kwa kwenda kununua mijengoSijui wanachama watafaidikaje?!
Kama hujaelewa uliza basi chawa.. Mimi sio mshamba wa ujenzi nimeanza hizo mishe hata kabla hujazaliwa jombaaSasa gharama ya ujenzi ni finishing au hata nyumba huna? [emoji16][emoji16]
. technically hapo lazima iwatoke zaidi ya bil.500 nyingine ila Kwa kuwa ni uwekezaji italipwa mdogo mdogo
Kama umeanza hizo mishe kitambo Kwa nini umeshindwa kununua hiyo dege?Kama hujaelewa uliza basi chawa.. Mimi sio mshamba wa ujenzi nimeanza hizo mishe hata kabla hujazaliwa jombaa
Sent using Jamii Forums mobile app