NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

Kada na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ntobi amesema Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface Jacob, maeneo ya Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Mawakili wa Chama wapo hapa kushuhudia upekuzi.

Hii inakuja baada ya kutoka taarifa kwa Jeshi la Polisi kwamba linamshikilia Boniface Jacob kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Soma Pia:

Polisi wamechelewa sana kwa hilo Boni ,mnyika,masese, Sativa na Mdude walitakiwa kuwa ndani akiwemo Mbowe

USSR
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika kumpa uhuru wa kuongea chochote atakacho kwa kisingizio cha demokrasia sio sawa .Denokrasia inatawaliwa na wapuuzi na wahuni kama Lema kushinda mitandaoni kushindana na serikali ni ujinga uliopitiliza aisee
Sasa na wewe hapa mbona unaongea chochote utakacho?

Kwa hiyo na wewe tukukamate au?

Au umejitoa ufahamu hadi huelewi hata unachoandika?
 
Unapo furahia mwenzako anapo teswa bila hatia tena kwa jambo usilo lijua na huna hakika nalo unakuwa na roho ya kishetani kabisa.
 
Vitisho havijawahi nyamazisha wanaume.
Ngojea tusubiri kuona haya yatakapo tupeleka. Bila shaka huu ni mwanzo wa mambo makubwa kwa nchi yetu. Kamwe sitegemei kuwa tutaendelea na safari ile ile iliko kuwa tunapelekwa na CCM.
 
Yai kawachokoza Yeye mwenyewe sasa atajua hajui 🐼
Aiiiseeee!
Hivi ni wewe kweli?
Huyu mtuhumiwa hata hujui tuhuma zinazo mhusu, tayari wewe umekwisha hitimisha!
Hukumu ilitolewa lini itakayo mfanya "ajue hajui"?

Ulijificha ficha siku nyingi kuonyesha picha yako halisi, sasa umebaki uchi kabisa.
 
Hii hata US. Ndio maana Assange na Snowden wanaharakati hawa waliongea wakiwa mafichoni huku wanasakwa kila kona ya dunia wapotezwe. Assange alizeekea UK kwenye ubalozi wa Ecuador 🇪🇨 huku nje anasubiriwa na wadau.

Naamini maamuzi ya upambanaji waliyoamua walipiga na hesabu ya usumbufu watakaopitia kufikia kaanani ya maamuzi yao.
Wacha bhwanah kupotosha watu.
Hao ulio wataja hapo na wao walikuwa kwenye harakati za kupambana na maovu yaliyo kuwa yakifanywa na serikali yao kama hawa wa CHADEMA na wengineo hapa kwetu?

Ndiyo, mtu anapo amua kupinga dhuruma ni wazi lazima awe ameamua kujitoa mhanga, kama walivyo fanya wengi, wakiwemo akina Mandela.
Kwa hiyo hilo siyo jambo la kusikitikia wala kuhofia, ni jambo la heshima.
 
Hawataki kukosolewa, wanataka kwa namna yoyote ile wabakie madarakani, hata kwa kumwaga damu.
 
Wacha bhwanah kupotosha watu.
Hao ulio wataja hapo na wao walikuwa kwenye harakati za kupambana na maovu yaliyo kuwa yakifanywa na serikali yao kama hawa wa CHADEMA na wengineo hapa kwetu?

Ndiyo, mtu anapo amua kupinga dhuruma ni wazi lazima awe ameamua kujitoa mhanga, kama walivyo fanya wengi, wakiwemo akina Mandela.
Kwa hiyo hilo siyo jambo la kusikitikia wala kuhofia, ni jambo la heshima.
Kama wanajitoahanga hizo ni akili au matope

USSR
 
Hawataki kukosolewa, wanataka kwa namna yoyote ile wabakie madarakani, hata kwa kumwaga damu.
"Lugha ya Staha" sasa inakuwa 'enforced' (inalazimishwa?) kwa kuwekwa ndani! EEEeeennNHeEEEE!

Uvumilivu umetupwa pembeni, baada ya kuona ulaghai hauzai matunda yaliyo tegemewa.

Hili nalo litagonga mwamba tu.
 
Endelea kushindia uji achana na maisha ya boni yai ambayo ukoo wako wote hauwezi kumfikia hata mjichange ukoo mzima
Unanifahamu masikini wewe labda wazazi wako ndio hawatafikia

USSR
 
Back
Top Bottom