NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

Kada na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ntobi amesema Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface Jacob, maeneo ya Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Mawakili wa Chama wapo hapa kushuhudia upekuzi.

Hii inakuja baada ya kutoka taarifa kwa Jeshi la Polisi kwamba linamshikilia Boniface Jacob kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Soma Pia:

Usiamini chochote cha Polisi wa Tanzania. Hapo ndani washaweka kitu chao, na baada ya muda si mrefu watakuja na maelezo ambayo yatawafanya wote muamini. Nimeishi na polisi miaka mingi, nawajua, siamini polisi, hasa wa Tanzania. Wanafanya kazi kwa kuelekezwa tu. Amini nikwambiayo.
 
Kwa iyo unataka kila siku watu wawe wanaandamana tu
Wameandamana Kila siku kwani!!?

Kwa mtu mwenye akili timamu hata kama ni mwanaccm kama Mimi angeandamana ju ya haya:-

1.Ngorongoro issue.
2.Dp world issue
3.Teka Teka poteza poteza!
4.katiba mpya issue!

Haha yote yanatuhusu wote bila kujali chama !Bali Taifa na nchi yetu!
 
Boniyai alidhani Serikali ni Sawa na Makolo FC 🐼
Comrade na wewe kabisa!unazuia maandamano yanayohusu Teka Teka poteza poteza!!!unafikiri hayo maamdamano yanafaida Kwa chadema kisiasa au pamoja na wewe na ndugu zako!!?

Inasikitisha sana!!
 
Back
Top Bottom