Kwa mtu kama wewe jibu ni "matope"Kama wanajitoahanga hizo ni akili au matope
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mtu kama wewe jibu ni "matope"Kama wanajitoahanga hizo ni akili au matope
USSR
Wewe ni kapuku tu omba omba wa lumumba unasubiri makombo ya lumumba utupiwe uje kusumbua JF. Zezeta la lumumbaUnanifahamu masikini wewe labda wazazi wako ndio hawatafikia
USSR
..ila kumuhoji na kumpekua mafwele hawawezi!Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika kumpa uhuru wa kuongea chochote atakacho kwa kisingizio cha demokrasia sio sawa .Denokrasia inatawaliwa na wapuuzi na wahuni kama Lema kushinda mitandaoni kushindana na serikali ni ujinga uliopitiliza aisee
Labda kama husomi habari zake kule XAiiiseeee!
Hivi ni wewe kweli?
Huyu mtuhumiwa hata hujui tuhuma zinazo mhusu, tayari wewe umekwisha hitimisha!
Hukumu ilitolewa lini itakayo mfanya "ajue hajui"?
Ulijificha ficha siku nyingi kuonyesha picha yako halisi, sasa umebaki uchi kabisa.
hayo ya huko X kama huwezi kuyaleta huku yaache huko huko. Hapa tunajadili ya huku huku.Labda kama husomi habari zake kule X
Huwa anazileta kijana wake Mh Salary Sliphayo ya huko X kama huwezi kuyaleta huku yaache huko huko. Hapa tunajadili ya huku huku.
Na hizo habari za X zinaonyesha hukumu pia ya mtu kuwa kapatikana na hatia?
OK sio mda Mungu utasagilia mbali na roho zenu mbayaAcha wanyooshwe
Midebwedo kama wewe lazima lockup uogope maana mmelelewa kinyoronyoro mnachoweza ni mama anaupiga mwingi.Umeshazoea nini na hujawahi hata kulala lockup?
How his talks stoped the development plans?Acha wanyooshwe
Endelea Kukaa kwa shemeji Yako siku ukijitegemea ndio utajua hiki wanachofanya wapinzani.Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika kumpa uhuru wa kuongea chochote atakacho kwa kisingizio cha demokrasia sio sawa .Denokrasia inatawaliwa na wapuuzi na wahuni kama Lema kushinda mitandaoni kushindana na serikali ni ujinga uliopitiliza aisee
Mwanaume gani hata jeshi la mgambo haumiriki!!?Vitisho havijawahi nyamazisha wanaume.
Kama ambazo huwa mnafanya kwenye makorido ya lumumba kuandaa viclips eti baby can you fly to KIA halafu mazwazwa yanasema mbowe kamwambia wema.Demokrasi siyo kutoa propaganda ovyo ovyo.
Assange nimeishi nae nyumba moja kijitonyama 2004,Ile wikileaks nineidisign mimiHii hata US. Ndio maana Assange na Snowden wanaharakati hawa waliongea wakiwa mafichoni huku wanasakwa kila kona ya dunia wapotezwe. Assange alizeekea UK kwenye ubalozi wa Ecuador 🇪🇨 huku nje anasubiriwa na wadau.
Naamini maamuzi ya upambanaji waliyoamua walipiga na hesabu ya usumbufu watakaopitia kufikia kaanani ya maamuzi yao.
Sijaona lolote alilo leta humu mkuu 'Salaryslip' linaloweza kuamsha mori na shangwe kiasi cha mnavyo shangilia kwenye mada hizi! Pengine kuna mengine ambayo bado hayajulikani kwetu.Huwa anazileta kijana wake Mh Salary Slip
Hawajambambika vitu vya magendo?Kada na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ntobi amesema Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface Jacob, maeneo ya Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Mawakili wa Chama wapo hapa kushuhudia upekuzi.
Hii inakuja baada ya kutoka taarifa kwa Jeshi la Polisi kwamba linamshikilia Boniface Jacob kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.
Soma Pia:
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Kada na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ntobi amesema Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface Jacob, maeneo ya Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Mawakili wa Chama wapo hapa kushuhudia upekuzi.
Hii inakuja baada ya kutoka taarifa kwa Jeshi la Polisi kwamba linamshikilia Boniface Jacob kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.
Soma Pia:
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo