Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.

Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.

Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.​
Shida watu tuna-complicate sana maisha
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

Wrong decision.. Anaowakataa Dada ndio watakuwa msaada wake wakati wa mateso sio hawa anaowaita mashabiki zake na serikali mjinga mmoja huyu
 
Kwa hiyo hawana akili kwamba mimba yako hawakupanga?
Naona unashindwa kuelewa hoja na kuichakata kimantiki.

Sijapinga kwamba wamepanga, napinga kwamba ni shida.

Kwani mtu anayetaka kupata mtoto akapanga akapata mtoto hapo shida iko wapi?
 
Naona unashindwa kuelewa hoja na kuichakata kimantiki.

Sijapinga kwamba wamepanga, napinga kwamba ni shida.

Kwani mtu anayetaka kupata mtoto akapanga akapata mtoto hapo shida iko wapi?
Nahisi kizungu kinakuchanganya ,unajua maana ya shida wewe ? Unapanga kubisha tu...Haya walikuwa wanahitaji mtoto🤣
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

Nikiona tu Mwanaume anavaa Hereni huwa natamani yale Magumu anayoyapitia yawe maradufu kwakuwa naamini Mwanaume akivaa Hereni ni dalili tosha kuwa 'ameshalefti' Kitambo mno katika 'Grupu' letu la Masela Original likiongozwa nami Admin Tukuka GENTAMYCINE.
 
Kina baba wengi ni kawaida yao kususa watoto. Ila ukiona mama yako mzazi amekususa inabidi ukae chini ujiulize mara nyingi.
Umeona eeeh
Madingi kama vile hawana roho ya mwanadamu Ila wamama wamejaa utu na huruma. Mama akikukacha jua wewe ndio chanzo
 
Back
Top Bottom